Ommy Dimpoz ni msanii bora zaidi ya Alikiba


Ali Kiba ana bahati tu ya kupendwa lakini hana anachofanya zaidi ya kuuza sura.....angalia trends za muziki kwa sasa then upime
 
Tukiweka ushabiki pembeni mtoa mada hujui muziki ndugu yangu,
Yaani nyimbo za Ommy Dimpoz zipigwe zote
Mfano
Nainai
Me&u
Ndagushima
Wanjera
One&only
kata
You are de best
Alikiba uanze na
Cinderella
Shuka zote kwenye hiyo album kuna Naksh naksh,Macmuga n.k
Uje
Mwana,Chekecha,Wife wa dunia,seduce me,aje,na manyimbo kibao,kisha uje usimamie kwenye mshumaa.
Kuna nyimbo gani ya ajabu hapo??
Alikiba ni much talented usijaribu kumfananisha na waimba matusi plz,
Nyimbo za Kiba unasikiliza popote ukiwa na yeyote maana fasihi tu.
Na hapo sijagusia featuringi brother your not serious.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ali Kiba ana bahati tu ya kupendwa lakini hana anachofanya zaidi ya kuuza sura.....angalia trends za muziki kwa sasa then upime

Alikiba anatoaga Nyimbo Moja inadumu mwaka 1 iyo ndo kanuni

Alafu nyie mnapenda aimbe matusi.
 
Huyo dimpoz mwemyew ukimuuliza kati yake na kiba nan yuko vzuri atakuambia...

Acheni stry za kahawa, ifike kipindi muwape wa2 heshima zao sio mpk wafe... ku mantain kufanya mziki kwa miaka zaidi ya 15 sio kazi rahs.

Tz hii wakumfikia kiba ni wachache sana... na mziki umegawanyika sehemu nyingi sio kila mziki uwe na vibes kama za platnumz yan za kuchezeka..

Mbn akina ben pol na jux hamsemi waimbe nyimbo kama *kata*!

Kila mtu ana radha yake... mimi binafsi nikitaka nyimbo za kuchezeka nitamskiliza platnumz, pia nikitaka nyimbo za hisia, za kufunza na pia kuchezeka basi nitaenda kwa kiba.

Muzik ni mood, na hakuna anaefanya aina zote za mziki hvyo basi kila m2 mzuri sehemu yake.... siku ukijua hili utaacha ku generalise aina za mzki na kushindanisha wanamzk kipuuz

...
 
Ommy Dimpoz pia hana ngoma inayoizidi Kadogo na Mshumaa ambazo ndo za mwisho mwisho za alikiba.. Alikiba kukaa kimya sio kuzidiwa uwezo na Ommy Dimpoz

Kila mtu ana stratergy zake..
 
Alikiba anatoaga Nyimbo Moja inadumu mwaka 1 iyo ndo kanuni

Alafu nyie mnapenda aimbe matusi.
Hivi sasa mshumaa unadumu au hana nyimbo nyingine. Hakika inashangaza yaani msanii mwenye miaka 15 ktk gemu kuzidiwa total views hata na huyu mtoto Aslay? Ubora wa kitu haujifichi jamani. Mnamtesa mwenzetu kumvika majukumu makubwa nje na uwezo wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukisikia shabiki wamziki mzurii ndio wewe mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Diamond nyimbo nyingi kamzd wizkid viewers, je mond ni mwanamzk bora zaid ya wizkid?

Wimbo wa 2 face~ afrcan queen una viewers 12mil na baba lao wa platnumz una viewers 15 mil...

Sasa swali kati ya afrcan queen na baba lao upi mziki mzuri?

...
 
Diamond nyimbo nyingi kamzd wizkid viewers, je mond ni mwanamzk bora zaid ya wizkid?

Wimbo wa 2 face~ afrcan queen una viewers 12mil na baba lao wa platnumz una viewers 15 mil...

Sasa swali kati ya afrcan queen na baba lao upi mziki mzuri?

...
Mimi nimetumia mifano ya watu walioko katika mazingira yanayofanana. Mziki unabebwa na uchumi na media zenye nguvu. Huenda Diamond angeishi Nigeria amekuwa mwanamuziki bora zaidi ya Wizkidayo. Unaona wasanii wa Maerikani wanavyovuma si kipaji tu media zinawabeba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya bhn..

...
 
[QUOTE="bobby_Barbosa_9, post: 34892511, member: 561230"

Wimbo wa 2 face~ afrcan queen una viewers 12mil na baba lao wa platnumz una viewers 15 mil...

Sasa swali kati ya afrcan queen na baba lao upi mziki mzuri?

...[/QUOTE]

Tofautisha wakati, wakati African Queen unatamba digital platform haikuwa na nguvu Sawa na Leo. Hata nyimbo za Diamond za wakati huo zilikuwa na views kiduchu nenda uangalie.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ommy Dimpoz pia hana ngoma inayoizidi Kadogo na Mshumaa ambazo ndo za mwisho mwisho za alikiba.. Alikiba kukaa kimya sio kuzidiwa uwezo na Ommy Dimpoz

Kila mtu ana stratergy zake..
Kadogo na mshumaa zote hizo hazijafanya vizuri sokoni
 
Mwaka gani umeanza kusikiliza(Kufatilia) Muziki?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…