Ommy Dimpoz ni msanii bora zaidi ya Alikiba


Yaani akili za kibongo unapokosea tu ninkufananisha, kulinganisha .. sijui nani kawaroga?

Amba ruttu, giggy money wana washabili wao damu hata useme nini wako tayari kufa ka ajili yao

Ali kiba ana nini mpaka umweke kundi moja au kimlinganisha na yule au huyu? He is simple ila influential sana.... Ali kiba kushindanishwa na diamond ni ujinga pia, tena umeuweka humu bila haya, ni kwa sababu ya akili ndogo

kiba wa nakshi nakshi mpaka mshumaa ni kiba yule yule, tabia ile ile ya kiswahili.. sio msanii yule ni mwanamuziki! Kwake kuimba ni furaha na faraja tu..huyu ataimba mpaka uzee wake

Ushawahi kwenda kwenye mgahawa ukakuta jamaa anauza maandazi 20kila siku na anaridhika na hajiongezi wala hapapariki na wengine KAMA UTAKAVYO

Wako wengi tu kwa kipaji wanampita kiba (kama unawaza kushindana) wako akina onesix, aten, benson, cheed, barnaba, n.k lakini pia ndani ya moyo wako unajua kuna kiki, kupumbazwa na wengi kama kipaji wamemzidi diamond bya far million times better. dunia haiko hivyo... Kutoboa kunahitaji ujanja mwingi na jitihada za kudumu kama afanyavyo diamond

Labda utueleze kilichofanya umseme kiba kati ya wengi ni kipi? Nini hasa kimekuvuta? Kwa nini haikuwa rahisi kumu ignore tu?
 
Nakuunga mkono kwasasa ommy dimpoz anafanya mziki unaopendwa na wengi na ngoma zake zinafanya vizuri kuliko za alikiba ila kwa maana ya kipaji kiba ana kipaji kikubwa kushinda ommy dimpoz

Ommy dimpoz anafanya vizuri kuliko hata diamond
 
Huu Mshumaa umeuonaje sokoni? Alikiba yuko static sana. Huu wakati nyimbo zinazotoboa ni za kuchezeka zaidi ila Alikiba alitambui kubalance nyimbo zake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni shabiki wa Kiba? Kama jibu ni hapana basi ungenyamaza tu sababu mashabiki wake tunapenda hizo nyimbo zake zisizochezeka usilazimishe nyekundu kua njano,
Hizo nyimbo za kwioo kwioo tunawaachia nyie wakata viuno.

The best Medicine of Corona is to Stay Home.
 
Ommy dimpoz anafanya vizuri kuliko hata diamond
Anzisha Uzi wake alafu uone Kama Kuna mtu atakuunga mkono hapa hatupo kwaajili ya ushabiki hapa tunaongea facts nikikuuliza vigezo ulivyotumia kusema ngoma za ommy dimpoz zinafanya vizuri hutanipa jibu.
 
Nadhani mpaka hapa Thread ingefungwa na mtoa mada amuombe radhi King Kiba.
[emoji146][emoji146]

The best Medicine of Corona is to Stay Home.
 
Hapa umeongea point Sana.
 
Anzisha Uzi wake alafu uone Kama Kuna mtu atakuunga mkono hapa hatupo kwaajili ya ushabiki hapa tunaongea facts nikikuuliza vigezo ulivyotumia kusema ngoma za ommy dimpoz zinafanya vizuri hutanipa jibu.
Kachukua tuzo mbele ya Diamond
 
Niwe mkweli tu.
Dimpoz anajitahidi mnoo kwa sasa..
Kizuri zaidi anabadilika badilika..

Alikiba mpka aje atoe nyimbo ni mpka harmonize avae shat kwenye video
 
Pole mkuu Waberoya Mimi nimesema ni opinion yangu, sikujua kama Alikiba incomparable. Huwa napenda ubishe kwa evidence. Pole ila kama unaamini yeye music kwake ni hobby na sio professional unajidanganya au unakwepa tatizo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…