lulu za uru
JF-Expert Member
- Aug 7, 2015
- 2,557
- 3,221
Mim ntaendelea kukuheshimu shilawadu mwenzangu ila ukikosea kubali kurekebishwa poa mzee mwenzanguIla akiumwa au akipata matatizo ndo tunatakiwa kumpangia c ndio? We nae nilikuq nakuheshimu kumbe hujielewi, pita hvi, nisiwaonee wivu qkinq domo wanafanya Kazi nimuonee huyo kahaba wa kike
KWELI HUO NI WIVU TUAcha wivu ndugu. Labda kama huwa unampatia pesa!
Me nilikuoa kwani!?[emoji107] [emoji107] [emoji107] [emoji107]Potea, achana na Mimi, sijakuita humu
ahaaaa binadamu shida kweli ujue huwa sipendi kucommet lakin kwa ili ngoja niongee.Yani hili jamaa linanikera, linapenda sana raha badala ya kufanya kazi, lenyewe kutwa kubadilisha ndege, mara Dubai, US, Italy, London, khaa! Tumekuchoka bhana, fanya kazi mtoto wa kiume hizo show off waachie akina Wolper na wema ,mbona wenzio akina diamond hawana huo upuuzi, wenzio wakisafiri kikazi kama bata sio kama unavyoendekeza wewe, hata kama unalipiwa bhana, unaboa sana, mxiew
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Eeeh kila kona nakula vichambo, doooh hatari
Kama wewe hupendi kufuatilia maisha yatu humu umefuata nn, binamu nae mbea mmmh!!!ahaaaa binadamu shida kweli ujue huwa sipendi kucommet lakin kwa ili ngoja niongee.
Wew ndo unamatatizo try to live ur life blood don't be bothere' by someone doing.
Hahahahaah bina poleeeBinamu nimetoka kifungoni(Ban) ebu nionee huruma maana domo langu break ilifeli