Madimba jr
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 1,577
- 3,146
Dimpoz anasumbuliwa na koo ambapo katikati ya mwaka huu 2018 alifanyiwa operation katika moja ya hospitali kubwa nchini Afrika ya Kusini,licha ya kuonekana kuimarika kwa afya yake miezi kadhaa iliyopita lakini tatizo hilo limemrudia tena siku chache za hivi karibuni.awali kabla ya kwenda kupatiwa tiba South Afrika, madaktari wa muhimbili walimueleza kuwa ana dalili za kansa ya koo,jambo ambalo hakukubaliana nalo.
Dua za Watanzania zinahitajika kwa kijana wetu Ommy
Dua za Watanzania zinahitajika kwa kijana wetu Ommy