Madimba jr
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 1,577
- 3,146
Mungu amponye arejee kwenye majukumu yake!Dimpoz anasumbuliwa na koo ambapo katikati ya mwaka huu 2018 alifanyiwa operation katika moja ya hospitali kubwa nchini Afrika ya Kusini,licha ya kuonekana kuimarika kwa afya yake miezi kadhaa iliyopita lakini tatizo hilo limemrudia tena siku chache za hivi karibuni.awali kabla ya kwenda kupatiwa tiba South Afrika, madaktari wa muhimbili walimueleza kuwa ana dalili za kansa ya koo,jambo ambalo hakukubaliana nalo.
Dua za Watanzania zinahitajika kwa kijana wetu OmmyView attachment 970154
Mungu ni mwingi wa Rehma,, InshaAllah Allah amfanyie wepesi.Dimpoz anasumbuliwa na koo ambapo katikati ya mwaka huu 2018 alifanyiwa operation katika moja ya hospitali kubwa nchini Afrika ya Kusini,licha ya kuonekana kuimarika kwa afya yake miezi kadhaa iliyopita lakini tatizo hilo limemrudia tena siku chache za hivi karibuni.awali kabla ya kwenda kupatiwa tiba South Afrika, madaktari wa muhimbili walimueleza kuwa ana dalili za kansa ya koo,jambo ambalo hakukubaliana nalo.
Dua za Watanzania zinahitajika kwa kijana wetu OmmyView attachment 970154
it's ur choice son!Naona chanzo cha habari ni ijumaa sasa sijielewi nikubaliane na habari au niikatae.
SigaraSema uzuri wa Hospital Za Bongo mtu Unaambiwa Ukweliii ila ukienda Nje lazima Wakudanganye danganye ili wakupige Hele Foreigner hadi zikiwa zinataka kuisha wanakwambia Una Ca ila Cancer ya Koo TZ rate yake imekuwa Kubwa sana Hasa kwa Vijana Umri wa Ommy ngoja tusubiri na Tuone
achana nayo km huamini hicho chanzoLeta chanzo kingine cha habari, hayo majarida huwa siyaamini.
Siyo kweli kuwa hospitali za nje zinadanganya wagonjwa mzee wangu; hospitali za nje kama marekani wanakuambia na ile habari usiyotaka kujua. Wanaweza kukuambia wazi kuwa utakufa ndani ya siku tatu, kwa hiyo kama hujaweka wosia kuhusu mali zako sema wakupe wanasheria kukusaidia harak haraka kuweka wosia kabla hujaaga dunia.Sema uzuri wa Hospital Za Bongo mtu Unaambiwa Ukweliii ila ukienda Nje lazima Wakudanganye danganye ili wakupige Hele Foreigner hadi zikiwa zinataka kuisha wanakwambia Una Ca ila Cancer ya Koo TZ rate yake imekuwa Kubwa sana Hasa kwa Vijana Umri wa Ommy ngoja tusubiri na Tuone
Sio chumviniSigara
unataka tuanze ligi ya Mungu tena bwana NgoNyani Ngabu?Eti mungu amfanyie hiki au mungu ampe kile!
BS.
Kwa nini huyo mungu asingeizuia hiyo hali.
Cc KirangaEti mungu amfanyie hiki au mungu ampe kile!
BS.
Kwa nini huyo mungu asingeizuia hiyo hali.