mkuu hizo data feki
ule mswada ukipita habari kama hizi ni jela miezi sita
kwa nyimbo Kali ipi alotoa dimpoz?
Jamani ukweli uko hivi OMMY DIMPOZ anamfunika Diamond kwa kutoa nyimbo kali na video bomba zaidi.
Jamaa anajua kuimba hatari na kila nyimbo anayotoa ni nouma sana.Kama unabisha njoo hapa uzungumze.
diamond hafunikwi kirahisi kama ufikiriavyo....anabadilika badilika kama kirusi!hiyo ndo silaha yake kubwa!...
Kamfunika na shuka ama kanga..
Labda hii aliomshirikisha the Super Kahabaz wa Bongo