SirAlfred006
JF-Expert Member
- Sep 21, 2020
- 517
- 1,243
Hatunywi maji sasa. Hii itatundikwa kila mahali. Hadi kwenye mashairi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika🤣🤣🤣Sio Ronaldo tu
Nimeona kapiga na kina Sancho,Fred na wengine
Kiufupi hata ningekuwa mimi nimepiga picha na hao watu ningetuma picha hadi kwenye group la ukoo
Na kila picha ningetengenezea fremu yake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sio Ronaldo tu
Nimeona kapiga na kina Sancho,Fred na wengine
Kiufupi hata ningekuwa mimi nimepiga picha na hao watu ningetuma picha hadi kwenye group la ukoo
Na kila picha ningetengenezea fremu yake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sio Ronaldo tu
Nimeona kapiga na kina Sancho,Fred na wengine
Kiufupi hata ningekuwa mimi nimepiga picha na hao watu ningetuma picha hadi kwenye group la ukoo
Na kila picha ningetengenezea fremu yake
😂😂😂daaa aisee vip mkuu umehesabiwa laknKama ni mabwana zake je
Nimewasubiri mpaka muda huu bilabila,kweli naachaje taarifa zangu kwa jirani kuwa niliachana na mke wangu wakati namfukuzia na hajui hiyo siri😂😂😂daaa aisee vip mkuu umehesabiwa lakn
Kumbe umeolewa! Wekana wewe za mabwana zako tuwaone.Kama ni mabwana zake je
Mi kidume njoo nikuoe mke mdogo we ukate viuno huku ukiimba kaswidaKumbe umeolewa! Wekana wewe za mabwana zako tuwaone.
Akili za masikini hizi kila mwenye hela ni shoga, freemason, mwiziKama ni mabwana zake je
Mwanaume miaka 35 huna mke,huna mtoto,huna mchumba hujawahi kuonekana na binti inatia ukakasiAkili za masikini hizi kila mwenye hela ni shoga, freemason, mwizi
Huy kijana haijajulikana Mara moja kuwa Nani anamfadhili safar zake hzi za kwenda uko ngambo na Dubai Mara kwa Mara naonaga Ana ukaribu Sana na gsmJamaa anamishe gani wakuu ingia kwenye Acc yake IG jamaa ni full bata sa najiuliza kwa mziki upi na kutanua kote kule?
Huy kijana haijajulikana Mara moja kuwa Nani anamfadhili safar zake hzi za kwenda uko ngambo na Dubai Mara kwa Mara naonaga Ana ukaribu Sana na gsmJamaa anamishe gani wakuu ingia kwenye Acc yake IG jamaa ni full bata sa najiuliza kwa mziki upi na kutanua kote kule?
Pia Ana ukaribu na jo001 yule wa mombasaHuy kijana haijajulikana Mara moja kuwa Nani anamfadhili safar zake hzi za kwenda uko ngambo na Dubai Mara kwa Mara naonaga Ana ukaribu Sana na gsm
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app