dyuteromaikota
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 5,929
- 8,327
Vipo anavovitanua kwenye mwili wake kuweza kumudu kutanua kwenye bata.Jamaa anamishe gani wakuu ingia kwenye Acc yake IG jamaa ni full bata sa najiuliza kwa mziki upi na kutanua kote kule?
watu wanagawa jicho huko yaani ni biashara ya kuuza na bidhaa unabaki nayo huwezi juwaJamaa anamishe gani wakuu ingia kwenye Acc yake IG jamaa ni full bata sa najiuliza kwa mziki upi na kutanua kote kule?
Siri ipo hapo kwenye 'kutanua'.......Uyu jamaa anatanua kuliko msanii yoyote hapa bongo ila anachofanya kwenye mziki utacheka
Umeyajuaje haya ? ..acheni kuchafua watu sio poaMwanaume miaka 35 huna mke,huna mtoto,huna mchumba hujawahi kuonekana na binti inatia ukakasi
Kuna yule manzi huko uingereza alifariki miaka miwili hakuna aliejua alikua na miaka 39 mzee hakua na boyfriend, rafiki wala nini aisee....unaweza kuta ana tatizo la kiafya ndo mana amekua hivyo...Mwanaume miaka 35 huna mke,huna mtoto,huna mchumba hujawahi kuonekana na binti inatia ukakasi
Kila mtu ale kuku wakeJamaa anamishe gani wakuu ingia kwenye Acc yake IG jamaa ni full bata sa najiuliza kwa mziki upi na kutanua kote kule?
Hahaha ha kwel kabisaVipo anavovitanua kwenye mwili wake kuweza kumudu kutanua kwenye bata.
Kweli kabisaSiri ipo hapo kwenye 'kutanua'.......