You are missed Saint Anne
Sio ana ukaribu ni miongoni mwa wafanyakazi wa GSM na mwisho wa mwezi anapokea mshara.Huy kijana haijajulikana Mara moja kuwa Nani anamfadhili safar zake hzi za kwenda uko ngambo na Dubai Mara kwa Mara naonaga Ana ukaribu Sana na gsm
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Huku akiimba kaswida siyo?!Mi kidume njoo nikuoe mke mdogo we ukate viuno huku ukiimba kaswida
Ni mfanyakazi (Mbunifu) wa GSM CompanyJamaa anamishe gani wakuu ingia kwenye Acc yake IG jamaa ni full bata sa najiuliza kwa mziki upi na kutanua kote kule?
Mkuu kazi anayo fanya na bata analokula wala haviendaniNi mfanyakazi (Mbunifu) wa GSM Company
You're too missed.You are missed Saint Anne
Wanaonekana wapo happy sana hao wachezaji sijui kawauzia chai gani jamaa,Ommy Dimpoz ana story nyinginying sana za Chai lazima umpende mkipiga storyOngezea na hizo.
Mimi nashinda Selfika hukoThanks Saint Anne
Tunapishana majukwaa
Labda anatanua vinginewe.Jamaa anamishe gani wakuu ingia kwenye Acc yake IG jamaa ni full bata sa najiuliza kwa mziki upi na kutanua kote kule?
A kwel kabisaLabda anatanua vinginewe.
Ndio maana sikuoni manake selfika sipo labda mtu animention
Nitakuwa nakumention☺️Ndio maana sikuoni manake selfika sipo labda mtu animention