sembo
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 4,350
- 3,451
Namnukuu.. "Mimi nafikiri baada ya mechi tatu au mbili, kuanzia sasa Simba itakua ni timu yenye safu kali sana ya ushambuliaji. Yapo matatizo madogo madogo ambayo nimekua nikiyafanyia kazi."
Hebu tuzione hizo mechi tatu au mbili ni zipi.
07.09.2016(Wed) Simba SC Vs Ruvu Shooting... MAIN NATIONAL STADIUM DAR ES SALAAM
11.09.2016(Sun) Simba SC Vs Mtibwa Sugar... MAIN NATIONAL STADIUM DAR ES SALAAM
17.09.2016(Sat) Azam FC Vs Simba SC... MAIN NATIONAL STADIUM DAR ES SALAAM
24.09.2016(Sat) Simba SC Vs Majimaji FC... MAIN NATIONAL STADIUM DAR ES SALAAM
Baada ya hizo mechi tatu au mbili, kocha bora kutoka nchini Kameruni, ameshatamka.. Namnukuu tena.. "..Simba itakua ni timu yenye safu kali sana ya ushambuliaji.". Sasa tuone Mnyama atakutana na "kitoweo" gani???
01.10.2016(Sat) Young Africans Vs Simba SC... MAIN NATIONAL STADIUM DAR ES SALAAM
Chonde Chonde "Wazee Wa Kimataifa" msikimbie uwanja.
Ingawa yale matatizo madogo madogo katika safu ya ushambuliaji bado yanafanyiwa kazi.. Hii haitawaepusha Ruvu Shooting, Mtibwa Sugar, Azam FC na Majimaji FC kupokea vipigo vizito vizito.
SIMBA SPORTS CLUB, NGUVU MOJA.
Hebu tuzione hizo mechi tatu au mbili ni zipi.
07.09.2016(Wed) Simba SC Vs Ruvu Shooting... MAIN NATIONAL STADIUM DAR ES SALAAM
11.09.2016(Sun) Simba SC Vs Mtibwa Sugar... MAIN NATIONAL STADIUM DAR ES SALAAM
17.09.2016(Sat) Azam FC Vs Simba SC... MAIN NATIONAL STADIUM DAR ES SALAAM
24.09.2016(Sat) Simba SC Vs Majimaji FC... MAIN NATIONAL STADIUM DAR ES SALAAM
Baada ya hizo mechi tatu au mbili, kocha bora kutoka nchini Kameruni, ameshatamka.. Namnukuu tena.. "..Simba itakua ni timu yenye safu kali sana ya ushambuliaji.". Sasa tuone Mnyama atakutana na "kitoweo" gani???
01.10.2016(Sat) Young Africans Vs Simba SC... MAIN NATIONAL STADIUM DAR ES SALAAM
Chonde Chonde "Wazee Wa Kimataifa" msikimbie uwanja.
Ingawa yale matatizo madogo madogo katika safu ya ushambuliaji bado yanafanyiwa kazi.. Hii haitawaepusha Ruvu Shooting, Mtibwa Sugar, Azam FC na Majimaji FC kupokea vipigo vizito vizito.
SIMBA SPORTS CLUB, NGUVU MOJA.