Omori apewa figo na kaka yake

mwakani naolewa

Senior Member
Joined
Jul 25, 2024
Posts
148
Reaction score
426
Director wa video za muziki nchini Nigeria Omori @boy_director mwaka wazi kua kaka yake ameokoa maisha yake kwa kumpa figo moja, Omori kupitia uku rasa wake wa Instagram ameshiriki picha inayomuonesha akiwa hospitali kwa akili ya matibabu na kuandika โ€œ Jana kaka yangu alinipatia figo yake ili kuokoa maisha yangu โ€œ. Omori ni miongoni mwa ma director wa kubwa wa video barani Afrika akiwa ametayarisha video za wasanii wakubwa barani Afrika kama Diamond platnumz , Asake, Wizkid pamoja na Olamide .
 
Damn figo hiz daa sema kusema tg omori katengeneza video za wasanii wakubwa na kuwaacha akina burna boya asake na davido ni upumbavu
 
Maisha ya social media ni mabaya sana. Mtu yuko radhi apigwe picha yu hali mahututi, ilimradi tu akipata nafuu apost
 
Juzi nilikua chumba cha kupasua pasua kama mtaalamu wa nusu kaputi mtarajiwa...

Hataree wakuu ๐Ÿ™ ๐Ÿ™ ๐Ÿ™
 
Ndo wakome kunywa pombe kali. Mtu unapata hela nzuri badala ufocus na afya yako uishi kifalme ndo kwanza unaiharibu as if mwili wa binadamu una spare.
 
Ndo wakome kunywa pombe kali. Mtu unapata hela nzuri badala ufocus na afya yako uishi kifalme ndo kwanza unaiharibu as if mwili wa binadamu una spare.
Vijana wanasema hawataki kwenda na figo nzima kama hela wanazozikeshea wanaenda nazo vile.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ