mkuu... hivi ccm wanafanya makusudi au ni nini...? hivi hakuna mtu mwingine anayeweza kuwakilisha ccm katika masuala muhimu ya taifa pasipo Tambwe Hiza .... huu ni mzaha na dharau katika kuleta maendeleo ya nchi yetu
Kuna mwelekeo wa kupanga kuhusisha ukosoaji wa mswada huu na Chadema. Serikali na ccm wanatumia mbinu hii kukwepa hoja zinazokosoa mswada huo.
Jana mkuu wa mkoa wa Dodoma alidai waliozuiwa nje ya bunge walikuwa ni wanafunzi wa udom ambao waliletwa na Chadema. Lakini siyo wote walikuwa wanafunzi na wanachama wa Chadema. Tambwe hiza alizomewa Karimjee wakadai ni Chadema. Lakini hata ccm walimzomea!
Kama nia ya serikali na ccm ni kuupitisha huo mswada ulivyo basi watatumia kisingizio hicho cha kijinga kuupitisha, wakidhani wanakomoa Chadema. Wakifanya hivyo watahatarisha Amani.
Kwanaza ni kweli kwamba huo mswada umekaa vibaya na mapungufu mengi mno. Pili, ni dharau kubwa sana kwa watz ambao siyo Chadema kuwaona kwamba hawana akili ya kuona yaliyomo kwenye huu mswada.
Tatu, basi hata kama mko sahihi kwamba ni wanachama wa Chadema pekee wenye akili na uwezo wa kuchambua uzuri na ubaya wa huu mswada, wao pia ni watz hivyo wana haki ya kusikilizwa.
Nne, kukataa hoja kwa sababu humpendi mtoa hoja ni kusokota sayansi mantiki. Shuhulikia hoja usimshuhulikie mtoa hoja!
Kuna lawyer jana kaniboa sana STAR TV.......ati Marekani wana katiba ya miaka 250 na hawabadili katiba iweje sisi tubadili yetu yenye miaka 34 tu?
These people really don't get IT! the are incapable of getting it, and they would never get it even if you were to hammer it with a six inches nail in their heads. It is not about them, it is not about cosmetic change; it is about the fact that the people want to exercise their sovereignty by writing a new constitution. I mean, what is so hard to understand in that?
Wanabodi,
Leo ndio mara yangu ya kwanza kumuona Waziri wetu wa Sheria, Mhe. Selina Kombani akihojiwa live kwenye kipindi cha Jambo, kinachorushwa na TBC-1 asubuhi hii.
Alipokuwa akitetea mamlaka kubwa za rais kwenye utungaji wa katiba, Mhe. Kombani amesema, Tangu kutungwa kwa katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977, Tanzania tumekuwa na katiba nyingine5 ambazo zote process ndio hiyo hiyo kwa rais kuwa na mamlaka kubwa hivyo na zote zimesainiwa na rais, kitu ambacho sio kweli.
Mhe. Kombani wakati akizungunzia katiba hizo tano, alimaanisha marekebisho ya matano ya katiba, yaliyofanywa kwenye katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977, na sio katiba tano kama alivyoeleza Mhe. Waziri.
Usahihi ni kuwa Ile katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977, ndio hiyo katiba katiba iliyopo mpaka sasa, licha ya kufanyiwa marekebisho mara 5, marekebisho hayo hayabadilishi katiba na kuwa na katiba tano, katiba inabaki ni ile ile moja ya Mwaka 1977!.
Mhe. Kombani, hakuishia hapo, katika utetezi wake kwa mamlaka ya rais pale aliposema, katiba hizo zote 5, zimesainiwa na rais, kitu ambacho pia sio kweli. Katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977, ilitokana na Bunge la Katiba 'Constituent Assembly' (Japo ni Bunge lile lile la chama kimoja lilijigeuza), ambalo ndilo liliipitisha katiba. Katiba ikishapitishwa na Bunge la Katiba, haisainiwi na rais, rais mwenyewe, anapata mamlaka toka kwenye katiba hiyo, ila kinachosainiwa na rais, ni yale marekebisho ya katiba.
Hivyo mpaka ninapoandika hapa, Waziri wetu wa Sheria, anaamini yuko right kabisa kutoa mamlaka kubwa zile kwa rais katika marekebisho ya katiba, kwa vile anaamini kinachofanyika sasa, ni marekebisho mengine ya katiba ile ile ya Tanzania ya Mwaka 1977 na sio process ya Uuundwaji wa katiba mpya.
Waziri wa Sheria, anajua kuwa ni rais ndiye ameisaini Katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977, kitu ambacho sio kweli.
Japo sio kosa kubwa kwa mtu wa kawaida kuyaita marekebisho ya katiba kuwa ni katiba nyingine, lakini kwa Waziri wa Sheria, Live kwenye TV ya Taifa, kusema Tumekuwa na katiba 5 baada ya Katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977, ni uthibitisho kuwa tunaye Waziri wa Sheria Asiyejua Katiba.
Wasalaam.
Pasco.
NB.(Somo la Katiba, ndio somo la kwanza kwa mwanafunzi wa mwaka wa kwanza wa sheria, anapufundishwa 'What is Law?').
yaani acha tuu...hata Robert Manumba aliulizwa kwamba katiba ya tanzania inasemaje kuhusu madaraka ya jeshi la polisi ..akajibu kuwa yeye sio mtaalam wa katiba .... najiuliza katiba hii nani anatakiwa aijue...?
I am of the same opinion as you. These people are not seeing and putting things in perspective. I dare say that their perspective is very myopic and self-destructive. This is what I had posted earlier:These people really don't get IT! the are incapable of getting it, and they would never get it even if you were to hammer it with a six inches nail in their heads. It is not about them, it is not about cosmetic change; it is about the fact that the people want to exercise their sovereignty by writing a new constitution. I mean, what is so hard to understand in that?
Mhe Kombani, amekiri ni kweli rais amepewa madaraka makubwa sana kwenye muswada huo, lakini akasema madaraka hayo, yametokana na katiba yetu ya Tanzania ya mwaka 1977.
Mzee Mwanakijiji, kwa jinsi nilivyomuona Waziri Kombani, she was honest na genuine alipokuwa akitetea mamlaka ya rais, kwa vile ameona huo ndio uliokuwa mchakato wa marekebisho ya katiba. Amini usiamini, waziri anaamini wanachotaka Watanzania ni marekebisho na sio katiba mpya, ndio maana hata muswada wenyewe unasema mapitio. Ila pia ametoa room kuwa watazingatia maoni ya wengi hivyo naamini kuwa safari ya kuelekea kupata katiba mpya ndio imeanza.
Kitu kimoja ambacho Waziri Kombani hajakijua, ni tofauti ya kupata katiba mpya na kufanya mapitio ya katiba iliyopo. Kwa vile kuna notion kuwa Watanzania hawaijui hata katiba iliyopo, hivyo anaamini Watanzania hawajui wanataka nini, kama hujui unachotaka, basi ni lazima utapokea chochote unachopewa!. Tumepewa hii review na serikali ina amini tutapokea tuu kama kawaida yetu!.
Huyu mama aombe kubadilishwa wizara........hii haiwezi.......I wish Sitta was in place
Kuna lawyer jana kaniboa sana STAR TV.......ati Marekani wana katiba ya miaka 250 na hawabadili katiba iweje sisi tubadili yetu yenye miaka 34 tu?
Wanabodi,
Leo ndio mara yangu ya kwanza kumuona Waziri wetu wa Sheria, Mhe. Selina Kombani akihojiwa live kwenye kipindi cha Jambo, kinachorushwa na TBC-1 asubuhi hii.
Alipokuwa akitetea mamlaka kubwa za rais kwenye utungaji wa katiba, Mhe. Kombani amesema, Tangu kutungwa kwa katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977, Tanzania tumekuwa na katiba nyingine5 ambazo zote process ndio hiyo hiyo kwa rais kuwa na mamlaka kubwa hivyo na zote zimesainiwa na rais, kitu ambacho sio kweli.
Mhe. Kombani wakati akizungunzia katiba hizo tano, alimaanisha marekebisho ya matano ya katiba, yaliyofanywa kwenye katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977, na sio katiba tano kama alivyoeleza Mhe. Waziri.
Usahihi ni kuwa Ile katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977, ndio hiyo katiba katiba iliyopo mpaka sasa, licha ya kufanyiwa marekebisho mara 5, marekebisho hayo hayabadilishi katiba na kuwa na katiba tano, katiba inabaki ni ile ile moja ya Mwaka 1977!.
Mhe. Kombani, hakuishia hapo, katika utetezi wake kwa mamlaka ya rais pale aliposema, katiba hizo zote 5, zimesainiwa na rais, kitu ambacho pia sio kweli. Katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977, ilitokana na Bunge la Katiba 'Constituent Assembly' (Japo ni Bunge lile lile la chama kimoja lilijigeuza), ambalo ndilo liliipitisha katiba. Katiba ikishapitishwa na Bunge la Katiba, haisainiwi na rais, rais mwenyewe, anapata mamlaka toka kwenye katiba hiyo, ila kinachosainiwa na rais, ni yale marekebisho ya katiba.
Hivyo mpaka ninapoandika hapa, Waziri wetu wa Sheria, anaamini yuko right kabisa kutoa mamlaka kubwa zile kwa rais katika marekebisho ya katiba, kwa vile anaamini kinachofanyika sasa, ni marekebisho mengine ya katiba ile ile ya Tanzania ya Mwaka 1977 na sio process ya Uuundwaji wa katiba mpya.
Waziri wa Sheria, anajua kuwa ni rais ndiye ameisaini Katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977, kitu ambacho sio kweli.
Japo sio kosa kubwa kwa mtu wa kawaida kuyaita marekebisho ya katiba kuwa ni katiba nyingine, lakini kwa Waziri wa Sheria, Live kwenye TV ya Taifa, kusema Tumekuwa na katiba 5 baada ya Katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977, ni uthibitisho kuwa tunaye Waziri wa Sheria Asiyejua Katiba.
Wasalaam.
Pasco.
NB.(Somo la Katiba, ndio somo la kwanza kwa mwanafunzi wa mwaka wa kwanza wa sheria, anapufundishwa 'What is Law?').
Kuna lawyer jana kaniboa sana STAR TV.......ati Marekani wana katiba ya miaka 250 na hawabadili katiba iweje sisi tubadili yetu yenye miaka 34 tu?
Mzee Mwanakijiji, kwa jinsi nilivyomuona Waziri Kombani, she was honest na genuine alipokuwa akitetea mamlaka ya rais, kwa vile ameona huo ndio uliokuwa mchakato wa marekebisho ya katiba. Amini usiamini, waziri anaamini wanachotaka Watanzania ni marekebisho na sio katiba mpya, ndio maana hata muswada wenyewe unasema mapitio. Ila pia ametoa room kuwa watazingatia maoni ya wengi hivyo naamini kuwa safari ya kuelekea kupata katiba mpya ndio imeanza.
Kitu kimoja ambacho Waziri Kombani hajakijua, ni tofauti ya kupata katiba mpya na kufanya mapitio ya katiba iliyopo. Kwa vile kuna notion kuwa Watanzania hawaijui hata katiba iliyopo, hivyo anaamini Watanzania hawajui wanataka nini, kama hujui unachotaka, basi ni lazima utapokea chochote unachopewa!. Tumepewa hii review na serikali ina amini tutapokea tuu kama kawaida yetu!.
Kuna lawyer jana kaniboa sana STAR TV.......ati Marekani wana katiba ya miaka 250 na hawabadili katiba iweje sisi tubadili yetu yenye miaka 34 tu?
Wanabodi,
Leo ndio mara yangu ya kwanza kumuona Waziri wetu wa Sheria, Mhe. Selina Kombani akihojiwa live kwenye kipindi cha Jambo, kinachorushwa na TBC-1 asubuhi hii.
Alipokuwa akitetea mamlaka kubwa za rais kwenye utungaji wa katiba, Mhe. Kombani amesema, Tangu kutungwa kwa katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977, Tanzania tumekuwa na katiba nyingine5 ambazo zote process ndio hiyo hiyo kwa rais kuwa na mamlaka kubwa hivyo na zote zimesainiwa na rais, kitu ambacho sio kweli.
Mhe. Kombani wakati akizungunzia katiba hizo tano, alimaanisha marekebisho ya matano ya katiba, yaliyofanywa kwenye katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977, na sio katiba tano kama alivyoeleza Mhe. Waziri.
Usahihi ni kuwa Ile katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977, ndio hiyo katiba katiba iliyopo mpaka sasa, licha ya kufanyiwa marekebisho mara 5, marekebisho hayo hayabadilishi katiba na kuwa na katiba tano, katiba inabaki ni ile ile moja ya Mwaka 1977!.
Mhe. Kombani, hakuishia hapo, katika utetezi wake kwa mamlaka ya rais pale aliposema, katiba hizo zote 5, zimesainiwa na rais, kitu ambacho pia sio kweli. Katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977, ilitokana na Bunge la Katiba 'Constituent Assembly' (Japo ni Bunge lile lile la chama kimoja lilijigeuza), ambalo ndilo liliipitisha katiba. Katiba ikishapitishwa na Bunge la Katiba, haisainiwi na rais, rais mwenyewe, anapata mamlaka toka kwenye katiba hiyo, ila kinachosainiwa na rais, ni yale marekebisho ya katiba.
Hivyo mpaka ninapoandika hapa, Waziri wetu wa Sheria, anaamini yuko right kabisa kutoa mamlaka kubwa zile kwa rais katika marekebisho ya katiba, kwa vile anaamini kinachofanyika sasa, ni marekebisho mengine ya katiba ile ile ya Tanzania ya Mwaka 1977 na sio process ya Uuundwaji wa katiba mpya.
Waziri wa Sheria, anajua kuwa ni rais ndiye ameisaini Katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977, kitu ambacho sio kweli.
Japo sio kosa kubwa kwa mtu wa kawaida kuyaita marekebisho ya katiba kuwa ni katiba nyingine, lakini kwa Waziri wa Sheria, Live kwenye TV ya Taifa, kusema Tumekuwa na katiba 5 baada ya Katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977, ni uthibitisho kuwa tunaye Waziri wa Sheria Asiyejua Katiba.
Wasalaam.
Pasco.
NB.(Somo la Katiba, ndio somo la kwanza kwa mwanafunzi wa mwaka wa kwanza wa sheria, anapufundishwa 'What is Law?').