Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habar kinavyo jieleza hapo juu
Leo ni ijumaa wekend tulivu kabisa ambayo tuna enda kupiga show ya kufa mtu show ya nguvu ya kukata na shoka
Show hii itakuwa imekukusanyia matukio mbali mbali ambayo yamefanyika kuanzia week iliyopita na had leo
Naomba tuwe pamoja na host BEIRA BABY BOY
katika matukio yaliyo tingisha sana ni pamoja na matukio mbali mbali ambayo yalifanywa na watu na wasiojulikana
Jembe letu, kamanda letu alipigwa risasi na watu wasiojulikana na kuleta sintofahamu nchin ambako had sasa yuko nchin kenya kwa matibabu
Vile watu wasiojulikana walimpiga risas tano jeneral mkuu mstafu wa jesh la wananch tanzania ambako had sasa amelazwa pale hospitaly lugalo
Baada ya matukio kuongezeka kila siku tuliweza kumuona askofu mkuu wa nchi gwajima akiwafokea maasikofu wenzake kuwa wanakaa kimiya wakati nchi si shwar hivyo aliwataka wapaze saut kwa kuieleza selikal ukweli bila kuogopa
Tukiachana na story za watu wasiojulikana vile vile week hii ilikuwa adimu kwetu baada ya kukaa mwaka mzima kama nchi tukiwa hatuna jaji mkuu ambako rais wa tanzania aliweza kuteua jaji na kumuapisha
Vile vile ni week ambayo rais wa yanga wazee wa madawa ya kulevya tuliona bwana manji akiachiwa huru baada ya kusota rumande kwa zaid ya miez miwili
Tukiwa tunaendelea na show pata break kwa picha yetu ya week ya mrembo wema sepetu
Katika burudan ni week ambayo mkali wa michano kutoka los angels LILY BIZY WIZY WAYNE JINA LA WAZAZ LIL WAYNE aliweza kudondoka kifafa akiwa hotelin akijiandaa kwa shows califonia kitu kilicho sababisha kushindwa kupiga show
Pia vile vile ilikuwa na week ambayo bidada beyonce aliweza mtuhumu mume wake jaya jayz kuwa ni msaliti wa ndoa anatoka nje ya ndo na wadada wengine
Tukiwa bado tuko kwenye burudan tuliweza kumuona rapa kutoka tanzania chid benz akiahid kufanya collqbo na jaya jayz baada ya hapo awali kusema amefanya collabo na tupac
Vile vile tuliweza kuona wapendwa wawili hapo zaman wolper na hamonize wakilushiana maneno makal mtandaon na matus ya nguon
Vile vile ilikuwa week chungu sana kwa team domo diomond baada ya kuzidiwa view huko YouTube ambapo mnyama king kiba anatamba had leo
Ni week ambayo tumeweza kuona show kubwa kuliko ya tigo fiesta ikianza ambako ilianzia kule arusha na leo itakuwa pale musoma na jumapili itakuwa kule kahama mjini mkoa wa shinyanga
Vile hapo juz tuliweza kusikia kaul tata kutoka kwa MYWEATHER baafa ya kudai kuwa mwanaume kuwa na mwanamke mmoja ni upuuz maana ni kama huna tu
Vile katika michezo tuliweza kuona ligi kuu ikiendelea ambako mtibwa sugar wakiwa kilelen mwa lig wakifatiwa na MAMBUMBUBU FC amabayo yako nafas ya pili kwa point nne
Pia vile vile tuliweza kuona timu ya taifa stars ikushuka katika viwango vya fifa na kushika nafas ya 125 licha ya kuweza kumupiga bao 2 bila botswana
Kalibun sana kwenye hii show ya kibabe ya BEIRA BABY BOY NIGGA show hii itakuwa inafanyika kila week, kalibun sana kwa maon na wala sio kwa kejel changia chochote ili mambo yaende sawa bila shida sio mtu unakuja hapa unaanza kuuliza mbona hapa hujaweka koma mara ni habar sio habali, mambo hayo usilete hapa
Nakalibisha ushaul niongeze kitu gan na nipunguze kitu gan ili show yetu iweze kuwa poa zaid
LONDON BABY
Kama kichwa cha habar kinavyo jieleza hapo juu
Leo ni ijumaa wekend tulivu kabisa ambayo tuna enda kupiga show ya kufa mtu show ya nguvu ya kukata na shoka
Show hii itakuwa imekukusanyia matukio mbali mbali ambayo yamefanyika kuanzia week iliyopita na had leo
Naomba tuwe pamoja na host BEIRA BABY BOY
katika matukio yaliyo tingisha sana ni pamoja na matukio mbali mbali ambayo yalifanywa na watu na wasiojulikana
Jembe letu, kamanda letu alipigwa risasi na watu wasiojulikana na kuleta sintofahamu nchin ambako had sasa yuko nchin kenya kwa matibabu
Vile watu wasiojulikana walimpiga risas tano jeneral mkuu mstafu wa jesh la wananch tanzania ambako had sasa amelazwa pale hospitaly lugalo
Baada ya matukio kuongezeka kila siku tuliweza kumuona askofu mkuu wa nchi gwajima akiwafokea maasikofu wenzake kuwa wanakaa kimiya wakati nchi si shwar hivyo aliwataka wapaze saut kwa kuieleza selikal ukweli bila kuogopa
Tukiachana na story za watu wasiojulikana vile vile week hii ilikuwa adimu kwetu baada ya kukaa mwaka mzima kama nchi tukiwa hatuna jaji mkuu ambako rais wa tanzania aliweza kuteua jaji na kumuapisha
Vile vile ni week ambayo rais wa yanga wazee wa madawa ya kulevya tuliona bwana manji akiachiwa huru baada ya kusota rumande kwa zaid ya miez miwili
Tukiwa tunaendelea na show pata break kwa picha yetu ya week ya mrembo wema sepetu
Katika burudan ni week ambayo mkali wa michano kutoka los angels LILY BIZY WIZY WAYNE JINA LA WAZAZ LIL WAYNE aliweza kudondoka kifafa akiwa hotelin akijiandaa kwa shows califonia kitu kilicho sababisha kushindwa kupiga show
Pia vile vile ilikuwa na week ambayo bidada beyonce aliweza mtuhumu mume wake jaya jayz kuwa ni msaliti wa ndoa anatoka nje ya ndo na wadada wengine
Tukiwa bado tuko kwenye burudan tuliweza kumuona rapa kutoka tanzania chid benz akiahid kufanya collqbo na jaya jayz baada ya hapo awali kusema amefanya collabo na tupac
Vile vile tuliweza kuona wapendwa wawili hapo zaman wolper na hamonize wakilushiana maneno makal mtandaon na matus ya nguon
Vile vile ilikuwa week chungu sana kwa team domo diomond baada ya kuzidiwa view huko YouTube ambapo mnyama king kiba anatamba had leo
Ni week ambayo tumeweza kuona show kubwa kuliko ya tigo fiesta ikianza ambako ilianzia kule arusha na leo itakuwa pale musoma na jumapili itakuwa kule kahama mjini mkoa wa shinyanga
Vile hapo juz tuliweza kusikia kaul tata kutoka kwa MYWEATHER baafa ya kudai kuwa mwanaume kuwa na mwanamke mmoja ni upuuz maana ni kama huna tu
Vile katika michezo tuliweza kuona ligi kuu ikiendelea ambako mtibwa sugar wakiwa kilelen mwa lig wakifatiwa na MAMBUMBUBU FC amabayo yako nafas ya pili kwa point nne
Pia vile vile tuliweza kuona timu ya taifa stars ikushuka katika viwango vya fifa na kushika nafas ya 125 licha ya kuweza kumupiga bao 2 bila botswana
Kalibun sana kwenye hii show ya kibabe ya BEIRA BABY BOY NIGGA show hii itakuwa inafanyika kila week, kalibun sana kwa maon na wala sio kwa kejel changia chochote ili mambo yaende sawa bila shida sio mtu unakuja hapa unaanza kuuliza mbona hapa hujaweka koma mara ni habar sio habali, mambo hayo usilete hapa
Nakalibisha ushaul niongeze kitu gan na nipunguze kitu gan ili show yetu iweze kuwa poa zaid
LONDON BABY