On my way to TZ!..

Binti Maringo

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2007
Posts
2,804
Reaction score
96
Kwa wale wana JF walioko TZ jamani tutafutane....nitakuwa TZ for a month vacation....

Wale wanaotaka mingle with Kelly01...ni PM with your phone number ila firts week nitakuwa with family and second nitakuwa camping Arusha....then baada ya hapo i will be available...I am craving for nyama choma kwa sana tuu!....

Hollaaaaaaaaaaaaaaaa!......

Dar here i come....yipeeeeeeeeeeee
 
...aisee Mdada Kelly01 karibu nyumbani...ntakutafuta,kuna sehemu wanatengeneza 'chipsi chafu' na mishikaki ya uhakika kachumbari ya ukwaju....karibu sana nyumbani!!
 
Shem ukifika nitafute nami nitakuwa huko 0754 777777
 
...aisee Mdada Kelly01 karibu nyumbani...ntakutafuta,kuna sehemu wanatengeneza 'chipsi chafu' na mishikaki ya uhakika kachumbari ya ukwaju....karibu sana nyumbani!!

Hauxtable inamaa hizo chipsi vumbi zitakuwa tamu zaidi ya zile za pale kinondoni?...maana miye ndiyo nilikuwa nazipigia hesabu za pale aiseee!...nimezimiss sana sana tuu...basi tutafutane unipeleke kwenye hiyo new joint ya chips vumbi nazi mind sanaaaaa....
 
Shem ukifika nitafute nami nitakuwa huko 0754 777777


shem wangu usikonde...........wewe tena hahahahaha uancheza...itakuwa hawwwt ni kwamba hapatoshi shemu....i ma so looking forward aisee...namba yangu ile ile niliyokupa juzi aisee unitafute in few days sawa shemu.....
 
Pouuuwa.....najua mambo yako wenye wivu wajinyonge na asiwe na mwana atafute jiwe mapema teh teh teh teh
 
Kuna sehemu inaitwa jeshini maeneo ya Masaki wanachoma nyama nadhani dunia nzima lazima tukatie fujo pale!
 
Kuna sehemu inaitwa jeshini maeneo ya Masaki wanachoma nyama nadhani dunia nzima lazima tukatie fujo pale!

shem usije ukawa unaongelea pale Jolie i think panaitwa......... karibu na kilima nyege
 
Hii thread inabidi iende kwenye "Mahusiano na Mapenzi".
 
Shem usiache kumtafuta Maxence Melo nasikia anapenda sana kwenda viwanja, ila stay away from Shy yule hakawii kubadilisha somo!


Miye staki kwenda viwanja shemu nataka kwenda sehemu za kula tuu basi!...hahahaha huyo Shy achana naye na huyo Maxene mume wa ntu...sidhani kama ana hang out usiku....

Ila nataka kujua sehemu nzuri za kwenda ambazo zipo so classic na siyo gehtto......
 

Yuko available atamwambia mamsap kuwa yupo busy na mwanaJF asihofu hata kama atarudi asubuhi hahahahahah bongo imebadilika sana uliiacha wewe Nyamachobisi? ni kiwanja murua pia kwa wastaarabu kama wewe
 
Kelly, Chipsi Vumbi Nambari Wani zipo Msasani Namanga!

Masanilo, Vipi tena mbona namba yako ndio ya Mkuu wa Kaya au wewe ndio Muungwana mwenyewe?
 
Kelly, enjoy your vacation..hamna sehemu nzuri kama nyumbani, mwezi 1 tu ila utatamani kuongeza siku.
Usisahau kuangalia hata kwa nje IFM pakoje now, ila ukipata nafasi mamii..PaMoJa!
 
Hahahahahh wewe mazee ni balaa ....nataka mlengesha shem wangu huwezi jua bwana hahahahahahah
 
...aisee Mdada Kelly01 karibu nyumbani...ntakutafuta,kuna sehemu wanatengeneza 'chipsi chafu' na mishikaki ya uhakika kachumbari ya ukwaju....karibu sana nyumbani!!

yaleo kali kachumbari ya ukwaji imekaje hiyo 😕
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…