Uchaguzi 2020 Ona alivyokiuka kiapo chake, hafai kuongezewa mitano tena

Hahaha ewe pimbi ujue watanzania hawamuamini huyo punga wenu, kibaraka wenu asubiri tu komeo. Sisi ndiyo chama chenye uzalendo na Tanzania. Vibaraka hawana nafasi zaidi ya kuwakataa na kuwaangamiza ili uzaliwe upinzani mpya.
Inaonekana bila matusi huko CCM mambo hayaendi. Basi tutawatia adabu oct 28.
 
Tutawashangaza safari hii, kumbuka hakana marefu yasiyokuwa na ncha. 2020 ndio ncha yenu.
Bado hajazaliwa mpinzani wakushindana na mgombea wa CCM, maybe after 50 years [emoji16][emoji23]
 
Ninaposoma hapa natamani tar 28 iwe kesho nikamalize hasira zangu.

Ni mbaya sana kuwa na kiongozi wa kaliba hii.
 
imagine wewe ndo umepewa kiti
 
Uongo ni kosa kubwa sana kwenye nyanja za uongozi. Jpm ni mwongo sana. Sema tulikuwa hatujamshtukia kitambo
 
Utakuwa ni hamnazo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…