Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzembe wa wabongo ndio huu hapa. Mashine ya oxygen haijatumika kwa miaka minne eti bado wanajitayarisha kuanza shughuli. Hawa madaktari wanastahili viboko
Uzembe wa wabongo ndio huu hapa. Mashine ya oxygen haijatumika kwa miaka minne eti bado wanajitayarisha kuanza shughuli. Hawa madaktari wanastahili viboko
We sema tu ukweli kuwa unataka viongozi wa Kenya wajifunze kwa viongozi wa tz katika kuipigania nchi dhidi ya rushwa,uzembe,uvivu ,wizi ,ufisadi nkUzembe wa wabongo ndio huu hapa. Mashine ya oxygen haijatumika kwa miaka minne eti bado wanajitayarisha kuanza shughuli. Hawa madaktari wanastahili viboko
Hawa ndio zao hununua vifaa wasivyovijua jinsi ya kuvitumia vinaishia kukaa bure bila matumizi.
hahaa instructions zipo kwenye ile lugha ya mzee wa p.h.d[emoji1787][emoji1787]Hawa ndio zao hununua vifaa wasivyovijua jinsi ya kuvitumia vinaishia kukaa bure bila matumizi.
Pamoja na uzembe lakini hiyo ni moja ya hospitals zilizopo vijijini interiors, hiyo ndio challenge ya developmentHawa ndio zao hununua vifaa wasivyovijua jinsi ya kuvitumia vinaishia kukaa bure bila matumizi.
Pamoja na uzembe lakini hiyo ni moja ya hospitals zilizopo vijijini interiors, hiyo ndio challenge ya development
Magufuli kajenga mamia ya hizo hospitals nchi nzima na zenye vifaa vya kisasa lakini inawezekana wahudumu wa maeneo hayo ya vijijini hawajawahi kutumia hizo machines hawana mafunzo kutokana na kua vya kisasa sana au Hakuna population kubwa ya wagonjwa wa kuhudumiwa.
Mpuuzi sana huyo jamaa, zero brain kabisa. Mimi naamini kama tulivofunzwa enzi zile, mimi na wanarika wenzangu tulipo onana macho kwa macho na kisu chee kabisa kando ya mto. Kwamba hekima ya mwanaume kamili ni zaidi ya elimu darasani na kwamba ni jambo la busara kwa mwanaume kusema mengi kwa kubaki kimya au kutumia maneno machache.Jamaa wa vipima joto kwenye airport eti ndio salama dhidi ya Corona, naona hulali bado bado unahangaika, ubongo lala.
LOL taarifa ya Tanzania ipo straightforward, Tanzania haina Corona period Una lingine?
LOLMpuuzi sana wewe
Testing new virus labs ndio Corona test kits?
Mambo mengine sio lazima uongelee kama akili yako ni finyu kupita upeo wa issue husika.
Wagonjwa wapo. Si kweli hata kidogo kuwa wagonjwa wa kutumia haya mashine hawapo. Mko na oxygen machine ambayo ni bei ghali sana lakini inaozea hapo kwa miaka minne kwa sababu ya uzembe huku watoto wanaohitaji oxygen wakifa. Hii ni laana.Pamoja na uzembe lakini hiyo ni moja ya hospitals zilizopo vijijini interiors, hiyo ndio challenge ya development
Magufuli kajenga mamia ya hizo hospitals nchi nzima na zenye vifaa vya kisasa lakini inawezekana wahudumu wa maeneo hayo ya vijijini hawajawahi kutumia hizo machines hawana mafunzo kutokana na kua vya kisasa sana au Hakuna population kubwa ya wagonjwa wa kuhudumiwa.
LOL Punguza shobo, inaozaje?Wagonjwa wapo. Si kweli hata kidogo kuwa wagonjwa wa kutumia haya mashine hawapo. Mko na oxygen machine ambayo ni bei ghali sana lakini inaozea hapo kwa miaka minne kwa sababu ya uzembe huku watoto wanaohitaji oxygen wakifa. Hii ni laana.
Jamaa wa vipima joto kwenye airport eti ndio salama dhidi ya Corona, naona hulali bado bado unahangaika, ubongo lala.
LOL mmekosa hoja ya hospital naona bado sindano kuhusu Corona test kits inafanya kazi barabara 😂😂😂😂😂Mpuuzi sana huyo jamaa, zero brain kabisa. Mimi naamini kama tulivofunzwa enzi zile, mimi na wanarika wenzangu tulipo onana macho kwa macho na kisu chee kabisa kando ya mto. Kwamba hekima ya mwanaume kamili ni zaidi ya elimu darasani na kwamba ni jambo la busara kwa mwanaume kusema mengi kwa kubaki kimya au kutumia maneno machache.
Sasa kama hakuna mgonjwa anahitajika kutumia hizo mashine watazitumia vipi?
LOL mmekosa hoja ya hospital naona bado sindano kuhusu Corona test kits inafanya kazi barabara 😂😂😂😂😂
Wataelimika tu, kwa shuruti, wapende wasipende. Spot the difference; Leo,Hadi hapo darasa limekuingia, vipima joto ulivyokua utapumia humu ni toys tu.
Jana,LOL mmekosa hoja ya hospital naona bado sindano kuhusu Corona test kits inafanya kazi barabara
nitaanza kuitisha karo hivi karibuni.LOL Mpuuzi sana weweTesting new virus labs ndio Corona test kits? Mambo mengine sio lazima uongelee kama akili yako ni finyu kupita upeo wa issue husika.