ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Kama kuna timu imewaingiza mkenge Simba basi ni wale wa Angola. Baada ya kuwatoa De Agosto na kutinga makundi, Simba wameongea saana mtaani na kujiamini kupitiliza.
Msemaji wao akawavimbisha vichwa + Chama na Phiri wakajiona mi kama Real Madrid. Walitupuuza tulipowaambia kwenye CAF Champions Seague walipangiwa vibonde walipinga wakatukana sana.
Sasa basi hayo mambo yote na ukiongezea kubahatisha draw na Yanga na sifa za wachambuzi wetu ,vikawapa imani kuwa wao kweli ni wa level nyingine na kwamba wao hapa Tanzania ni bora kuliko yeyote, lakini ukweli unakuja kuupata kwenye takwimu.
Simba sasa wanaenda kaa nafasi ya tatu kwenye msimamo, na ukiangalia takwimu Azam kamwacha Simba mbali na Yanga ki takwimu na kiutendaji yupo imara zaidi ya Azam. Hivyo kwa mwendelezo huu sioni msimamo ukibadilika hivi karibuni, zaidi Simba ataendelea kuporomoka katika ligi na makundi hivyo watafukuzana humo na wasipokua makini hiyo namba tatu wataigombea na Singida na KMC!
Poleni sana ndugu zetu. Mtibwa huyo anakuja na mnamjua. Nimalizie kwa kusisitiza aliyemponza mnyama ni De Agosto.
Msemaji wao akawavimbisha vichwa + Chama na Phiri wakajiona mi kama Real Madrid. Walitupuuza tulipowaambia kwenye CAF Champions Seague walipangiwa vibonde walipinga wakatukana sana.
Sasa basi hayo mambo yote na ukiongezea kubahatisha draw na Yanga na sifa za wachambuzi wetu ,vikawapa imani kuwa wao kweli ni wa level nyingine na kwamba wao hapa Tanzania ni bora kuliko yeyote, lakini ukweli unakuja kuupata kwenye takwimu.
Simba sasa wanaenda kaa nafasi ya tatu kwenye msimamo, na ukiangalia takwimu Azam kamwacha Simba mbali na Yanga ki takwimu na kiutendaji yupo imara zaidi ya Azam. Hivyo kwa mwendelezo huu sioni msimamo ukibadilika hivi karibuni, zaidi Simba ataendelea kuporomoka katika ligi na makundi hivyo watafukuzana humo na wasipokua makini hiyo namba tatu wataigombea na Singida na KMC!
Poleni sana ndugu zetu. Mtibwa huyo anakuja na mnamjua. Nimalizie kwa kusisitiza aliyemponza mnyama ni De Agosto.