TFF ni wapuuzi mno...yaani pale kila kiongozi anayekuja ni kupiga deal tu. Hakuna kiongozi aliyewahi kuboresha mpira wa nchi hii. We fikiria nchi kama hii miaka yote hiyo shirika letu la mpira ni nyumba ya bachelor (chumba kimoja na sebule), yaani hawana hata haibu hawa viongozi wetu.