Uyo jamaa kulia ni Raisi wa shirikisho wa Filam Tanzana na kushoto kabsa ni jamaa muigizaji kutika GhanaView attachment 112456
The boss vipi tena na wadada mkuu.Ikuze picha tuone wadada
Kweli kabisa mkuu,England vs Tanzania
Huyo ni mwigizaji maarufu wa Ghana anayeigiza na Wanaigeria anaitwa Van Vicker.
Sawa mkuu sasa unatuambia nini hapo?
Ni kweli hamna cha ajabu hapo. Manaake huyo mbongo nae ni muigizaji anaeigiza mbongo anaejifanya wakala wa waingereza. Ndio fani yenyewe hiyo. Upuuzi mtupu!Huyo ni mwigizaji maarufu wa Ghana anayeigiza na Wanaigeria anaitwa Van Vicker.
Sawa mkuu sasa unatuambia nini hapo?
Kweli kiongozi yaani mtanzania kavaa nguo inayoitangaza England wakati Mgeni kavaa jezi ya Tanzania,kweli rais kazi diva.
Mods please toa upuuzi huu
Ni kweli mkuu, watu wengi hawajui tukio uendana na mavaziKweli kiongozi yaani mtanzania kavaa nguo inayoitangaza England wakati Mgeni kavaa jezi ya Tanzania,kweli rais kazi diva.
Uyo jamaa kulia ni Raisi wa shirikisho wa Filam Tanzana na kushoto kabsa ni jamaa muigizaji kutika GhanaView attachment 112456
Kweli kiongozi yaani mtanzania kavaa nguo inayoitangaza England wakati Mgeni kavaa jezi ya Tanzania,kweli rais kazi diva.
​Na HII ETI NI HABARI ya KISIASA? Na MODS wetu wameiaprove? Kweli sijui Mimi niko DUNIA GANI sielewi MENGI...