Hawaombi hivyo mkuu
Aseme tu anataka mwanamke wasogeze nae baridi ya Dodoma asizungukeMsaidie
Afunguke direct tu πππAseme tu anataka mwanamke wasogeze nae baridi ya Dodoma asizunguke
Helloo.. jamii friendszone.
This week natua Makao makuu ya nchi(Dodoma) nikitokea DSM, ningependa kupata mwenyeji au rafiki atakayekuwa mwenyeji wangu na atakeyenipa company pindi nitakapokuwa hapa kikazi kwa takriban siku 7
Age yangu ni 28
Nitashukia hotel na nitakuwa na usafiri wa kampuni.
Mwenyeji atapata huduma zote muhimu kwa wakati wote atakaokuwa na mimi.
Awe jinsia yoyote lakini akiwa mwanamke itapendeza zaidi.
Age above 18.
Karibu PM ipo wazi rafiki