Mkuu Bob,
Tupo ukurasa mmoja hapo, Muungwana ana matatizo mengi sana makubwa tena ya kujitakia, ameruhusu serikali ndani ya serikali sasa anaishia kuzeeeka kwa kasi kali sana maana huyu niliyemuona juzi sio yule niliyemuona miezi sita iliyopita, halafu lile tabasamu limeanza kuisha sasa mkulu ana hasira sana, wasaidizi anawakimbiza kama magari,
Lowassa hashikiki, maana according to the dataz leo yupo Las Vegas, kesho atakuwa New york, majuzi alitokea Florida, sasa hivi he is the most watched man katika bongo kuliko hata rais, je huko anatafuta nini? Wakulu wengi wana-scrumble kutaka kujua, Membe adui namba one on the list je patakalika?
duh! sasa hivi kuna the best drama ever ndani ya serikali na CCM, leo imebainika kuwa Odinga anawasaidia Chadema huko Tarime, Zanzibar vita vya kugombea urais vinazidi kupamba moto, Shamuhuna anasema ama zake ama za somebody lakini lazima we rais kumbe ndio sababu ya makelele ya Zenji kuwa nchi! Komba ameiba shillingi millioni 500 za CCM, Rais wetu badala ya kuongoza taifa amekua reduced to a mere member of Ze best Comedy to ever b e played in our nation's history
Mungu Aibariki Tanzania