Dampa
JF-Expert Member
- May 29, 2017
- 810
- 1,264
Nataka niishi kama Gwajima
1. Unakuwa na hummer kama tatu
2. Ndege chopa kama tatu
3. Unakuwa na nyumba orofa 3.
4.Yaani wewe japan na nje ya nchi wanakuheshim sana kuliko nchini kwako
5. Unakuwa na sifa za kumchambua kila mtu hata kama ni raisi au waziri
6. Unakuwa na kanisa lako haraf yeyote aseme tu we unaendelea na maisha yako hamna aliyemleta mwenzake duniani ila mungu tu
7. Ukisikia fununu za kusakwa na polisi unaacha kutembelea gari coz watakukamata wewe ni kwendo wa chopa tu hata kama unatoka tabata kwenda kariaoo hii inaepusha polisi nabtrafiki kukufatilia watachoka wenyewe coz hawajui utakapotua
8. Ukichokozwa UNALIAMSHA DUDE
9. Dressing code yako unique hamna hata anaekuiga
10. MWISHO UNAKUWA NA MABODYGUARD KULIKO RAISI WA NCHI .
1. Unakuwa na hummer kama tatu
2. Ndege chopa kama tatu
3. Unakuwa na nyumba orofa 3.
4.Yaani wewe japan na nje ya nchi wanakuheshim sana kuliko nchini kwako
5. Unakuwa na sifa za kumchambua kila mtu hata kama ni raisi au waziri
6. Unakuwa na kanisa lako haraf yeyote aseme tu we unaendelea na maisha yako hamna aliyemleta mwenzake duniani ila mungu tu
7. Ukisikia fununu za kusakwa na polisi unaacha kutembelea gari coz watakukamata wewe ni kwendo wa chopa tu hata kama unatoka tabata kwenda kariaoo hii inaepusha polisi nabtrafiki kukufatilia watachoka wenyewe coz hawajui utakapotua
8. Ukichokozwa UNALIAMSHA DUDE
9. Dressing code yako unique hamna hata anaekuiga
10. MWISHO UNAKUWA NA MABODYGUARD KULIKO RAISI WA NCHI .