Influenza
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,509
- 3,756
Wapelelezi jana wamekamata Dola Milioni 1(takriban Tsh. Bilioni 2.2) bandia, Dola 3,000 nyeusi za Marekani na vipande 147 vya dhahabu bandia katika klabu moja huko Kilimani
Noti hizo nyeusi zilizokuwa katika thamani ya Dola 100 kwa kila noti zilipatikana ndani ya masanduku madogo manne ya kuhifadhia nyaraka kwa siri (safes)
Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai, amesema mmiliki wa klabu hiyo, Stephen Mark Oduk anashikiliwa katika Kituo cha Polisi, Parklands akitarajiwa kufikishwa Mahakamani leo
Mapema mwezi huu, Polisi ilimkamata Bobby Kariuki akiwa na sarafu bandia za aina ya Dola, Paundi na Yuro zenye thamani ya Ksh. Milioni 200(takriban Tsh. Bilioni 4.4) huko Kileleshwa
******
Detectives on Wednesday seized one million forged U.S. dollars and 147 fake gold bars at a club in Kilimani.
A raid conducted at Plan 254 Club on Nyangumi Road also unearthed 3000 black U.S. dollars.
The black notes were in denominations of $100 and were discovered alongside four portable safes that were locked.
Stephen Mark Oduk, the owner of the club has been arrested and is currently being held at the Parklands Police Station.
According to the Directorate of Criminal Investigations (DCI), Oduk is set to be arraigned on Thursday.
Early this month, police arrested a man with fake currencies worth Ksh.200million in Kileleshwa.
According to the DCI, Bobby Kariuki, 27, was found with fake U.S. dollars, Euros and Pounds.
And on May 20 this year, detectives probing a fake gold scam raided a residential area in Riara where they discovered a smelting centre.
DCI George Kinoti revealed that once melted into ingots, the metal with insignificant gold content was being used to lure unsuspecting businessmen.
He said they have solid leads on suspects involved in the fake gold racket in Kilimani, some of whom are influential businessmen, lawyers, and judicial officers.
Noti hizo nyeusi zilizokuwa katika thamani ya Dola 100 kwa kila noti zilipatikana ndani ya masanduku madogo manne ya kuhifadhia nyaraka kwa siri (safes)
Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai, amesema mmiliki wa klabu hiyo, Stephen Mark Oduk anashikiliwa katika Kituo cha Polisi, Parklands akitarajiwa kufikishwa Mahakamani leo
Mapema mwezi huu, Polisi ilimkamata Bobby Kariuki akiwa na sarafu bandia za aina ya Dola, Paundi na Yuro zenye thamani ya Ksh. Milioni 200(takriban Tsh. Bilioni 4.4) huko Kileleshwa
******
Detectives on Wednesday seized one million forged U.S. dollars and 147 fake gold bars at a club in Kilimani.
A raid conducted at Plan 254 Club on Nyangumi Road also unearthed 3000 black U.S. dollars.
The black notes were in denominations of $100 and were discovered alongside four portable safes that were locked.
Stephen Mark Oduk, the owner of the club has been arrested and is currently being held at the Parklands Police Station.
According to the Directorate of Criminal Investigations (DCI), Oduk is set to be arraigned on Thursday.
Early this month, police arrested a man with fake currencies worth Ksh.200million in Kileleshwa.
According to the DCI, Bobby Kariuki, 27, was found with fake U.S. dollars, Euros and Pounds.
And on May 20 this year, detectives probing a fake gold scam raided a residential area in Riara where they discovered a smelting centre.
DCI George Kinoti revealed that once melted into ingots, the metal with insignificant gold content was being used to lure unsuspecting businessmen.
He said they have solid leads on suspects involved in the fake gold racket in Kilimani, some of whom are influential businessmen, lawyers, and judicial officers.