"One night stand" yaacha majeruhi na uhasama....ilikuwaje?

Mngekuwa mnasema wazi mnachokitaka bila kuweka ahadi za uwongo sidhani kama kungekuwa na tatizo. Mwambie bwana natamani kujivinjari na wewe as in like having sex and not making love...............

Halafu ukisema hivyo itakuwaje? Kuna utakachopata kweli? Lakini kuna watu huwa wanazipenda hizo maana kila anapoulizwa vipi wewe unaishi vipi bila ile kitu anasema mimi niko single. Kumbe yeye anapona kwa one night stand kila wakati. What a strategy?!!
 

Ha ha haa jamaa aliipeleka bongo yake likizo, uongo unaumiza sometimes, masikini mdada wa watu anamegwa huku ana - imagine hii ndio future, kumbe tu anauziwa mbuzi kwa gunia? Lazima alianzishe.
Ukiamua kuongopea kwenye masuala haya lazima ujiandae na pre-emptive measure, - na hapa ilitakiwa jamaa agawe dozi ileile :
Mdada ameongopa kwamba uume mdogo jamaa na atafute tu ata vichangudoa bomba hata na awalipe ili kusambaza kwamba wanaikimbia kalashnikov yake kwa ukubwa na inaweza kumpeleka mtu hata ICU. Trust me hizo rumours zitaisha mfano wa moto ulionyeshewa na mvua.
 
Hahahahahaha,nimewahi kupata kesi kama hii!

Hadi leo ni kama maadui hivi dah
 

mbona wapo wa mkataba,jolly,kwa macheni wamejaa kibao.....?
 

sioni HOW..???
hapo akifanya kama unavyomuelekeza,huyo dada naye atatafuta rumours nyengine kabambe za kumchafua huyo kaka...wote watajikuta kny endless cycle ya kuchafuana...
ni mmoja kujifanya mjinga na kukaa kimya...ndio solusheni...
 
Dunia bahati mbaya sana haiko hivyo.......................mahusiano ya leo yanakwenda kwa mahesabu sana...........ukiyakosea basi umekwisha..............................
Mahesabu si hesabu mahesabu ni tactics, and reality is the trick

do not under estimate women ndugu yangu... you can only belittle wale wanaouza na watoto wadogo tu!!
 
Kamanda, inawezekana tunachanganya type ya wanawake wanaoongelewa
kwanza ni wale machangu... hao kweli mbinu ya ruta lazma ikubali
pili ni wale wanawake wenye staha au working class ambao wengi wanaweza kula na kulala... hao huwapati kitoto, you have to be real
 
Hata ukiwapata kwa kazi nzito bado ukiwaacha kasheshe tu lipo litakuandama hata la kununiwa vile..................na kauli za kichinichini vile za kukusaga......kimyakimya...................Hujui hazitaki mbichi hizi huku akijua zimeiva?
 
wakati anapewa raha alisifia sana baada ya hapa kawa mbaya
 
Wanawake wengi hawapendi kuambiwa ukweli, ukimwambia tu tabu inaanza, ila siku hizi njia nyepesi ya kumpiga chini mtu ni kumwambia ukweli kuwa nyumba haiuzwi atajaza aanze au atimke
 

Wacheni niwaambieni, huyo jamaa baada ya kumega....akaona .....aaahhh ..... hapana, mkuku ,kubwa!!!!,
Kama angepata mambo yenyewe!!!!, angerudi na kuchonga mzinga.

Mambo ya waume madogo bana (Always Try once, Twice if I like it..). Watu wakimbia nyumba zao wakihamia kwa machangudoa!, mwanaume kumshika rahisi, akipewa sawa sawa, anabaki akihangaika kumtafuta!!!!!!!!.
 
hiyo mbaya sana, mimi nilishawai kuambiwa nina govi, tena niliambiwa na mke wa mtu kwasababu nilimkataa nikamkimbia kwa nguvu zangu zote. hiyo ilikuwa enzi zangu...mama alinifukuzia kwa nguvu zake zote, alivyoona nimempata kimwana mdogo kuliko yeye, alienda kupigana ngumi za mchana na yule mchumbangu, walidukuana, akanipigia simu ya matusi ya nguoni kwa nusu saa hadi mimi nilipokata simu kwasababu alikuwa ananimaliza kwa matusi...akaanza kunitangaza mtaani kuwa mimi nina govi...alisahau kabisa kuwa ameolewa...chaaajabu ni kwamba, hata mme wake hakugundua kilichotokea, watu walikuwa hawamwambii huyo mwanaume, nililishwa na huyo mmama, nilipikiwa vyakula, nilioshwewa vyombo, kuja kumkimbia ilikuwa shuguli......kuambiwa unao mkono wa sweta wakati hauna inauma....nilikuwa tayari hata kuvua kaputura nitembee barabarani ili watu waone kuwa sina mkono wa sweta, lakini ikawa ngumu...wengi waliamini hivyo. mke wangu ndo anaujua ukweli wake.
 

Kama mumewe hakujua ni bahati yako ila kiroho amejua na umemkosea. Siku nyingine muogope mke wa mtu kama ukoma.
 
inauma bwana mtu anakulala siku moja anakimbia unaweza fikiria una kimavi gani lazima ata act out of control though haijawahi nitokea lakini huwa napata picha ya maumivu makali mwambie mtu ukweli aamue mwenyewe sio unamdanganya halafu unapiga na kukimbia
 

Mkweli hapendwi.....................na hapendeki...............
 
sio kwel Ruta mi napenda mtu mkweli aseme tu atakama inauma ntakubali tu hayo ndo anayoamini mtu anakudanganya we mwisho wa siku kumbe alikuwa na lake jambo wanawake wapo wengi tu ukiwaambia ukweli wanaelewa sio kila mtu anataka relationship ya kudumu wengine umpooze usiku mmoja utambae sasa kwanini ujipe shida ya maungo mengi halafu uje ambulia mawe ya kichwa
 
Demu alikuwa mrahisi sana kutoa malavidav halaf k yake itakuwa kubwa ndo maana aliona mshkaji ana kitoothstick.
 
Heri ingelikuwa hivyo lakini wengi wetu hatupendi wakweli na ndiyo maana kuna motisha kubwa ya kudanganya.................na madhara yake ndiyo hayo....................
 
RED: maneno ya mfamaji hayo..!!
Men love thru' sex and women sex thru' love!!It's that simple!!
 
RED: maneno ya mfamaji hayo..!!
Men love thru' sex and women sex thru' love!!It's that simple!!

Nothing to add.....................
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…