kipindupindu
JF-Expert Member
- Dec 16, 2010
- 1,053
- 170
Mnakutana leo..mnamalizana leo!
Mnakutana leo..mnamalizana leo!
siku mkiamua kukurudia ruksa......no strings attached at first ila as days go....wengine huwa na strings.....
Mnakutana leo..mnamalizana leo!
duh!yaani kama mitaa ya Ohio?
siku mkiamua kukurudia ruksa......no strings attached at first ila as days go....wengine huwa na strings.....
Mmoja akinogewa lazima!Mara kawivu...mara mbona umepoteo...kidogo kidogo wanafall!
naanza kupata picha maanake huyo jamaa mkienda naye club ni kosa yaani debe linaendelea yeye kashaenda ku-do.
Mmoja akinogewa lazima!Mara kawivu...mara mbona umepoteo...kidogo kidogo wanafall!
Mnakutana leo..mnamalizana leo!
kabisaaaaaa.....ila ukweli ka wivu kanakuwepo ukisha-do na mtu....:spider:
yaani ni kama tamasha la siku moja?one night performance! Hapa lazima maujuzi yote yatumike.
Orait. Najifunza, mimi mwanafunzi. Hivi kufall kunaanza baada ya mchakachuog?g!!
kama umekutana na mke/mme wa mtu si unakaribisha balaa hapa?
Orait. Najifunza, mimi mwanafunzi. Hivi kufall kunaanza baada ya mchakachuog?g!!
dearest hii kitu isiskie kwa wenzio....watu wamejidai ooooohhh sitaki strings...leo ni mume na mke.....love nyingine huanza kiajabu sana!!!!!!