njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Watu wamewekeza mamilioni ya pesa kutafuta mtu wa kumtukana na kumdhalilisha Mo Dewji na katika kuhakikisha MTUKANAJI anaishi vizuri bila msongo wa mawazo wakamtafutia aprtment baharini huko masaki, usafiri mzuri na mshahara mnono
All of a sudden project ife kirahisirahisi? mnaongea maneno mengi sana ,mmejaribu kuwafikiria hawa wafadhili wa hii project wako kwenye hali gani kwa sasa? Kuweni na huruma bana wao pia ni binadamu, project yao ya kumdhalilisha MO dewji, kutukana bidhaa zake bado haijafika mwisho.
Fikiria kwa hizi weeks 3 za hekaheka ,Mo dewji hajatukanwa wala kudhalilishwa na MTUKANAJI hamuoni ni hasara kwa wafadhili wa project hiyo?
Think outside the box**
All of a sudden project ife kirahisirahisi? mnaongea maneno mengi sana ,mmejaribu kuwafikiria hawa wafadhili wa hii project wako kwenye hali gani kwa sasa? Kuweni na huruma bana wao pia ni binadamu, project yao ya kumdhalilisha MO dewji, kutukana bidhaa zake bado haijafika mwisho.
Fikiria kwa hizi weeks 3 za hekaheka ,Mo dewji hajatukanwa wala kudhalilishwa na MTUKANAJI hamuoni ni hasara kwa wafadhili wa project hiyo?
Think outside the box**