Crispin Nyoni
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 413
- 90
Wewe nani kakwambia kuwa mafuta ya Nguruwe kuwa ni Dawa? acha kuwaongopea watu hapa. Mimi sikubaliani na wewe hayo maneno unayoyasema.Habari zenu. Wadau, mafuta ya nguruwe yana chembe hai nyeupe ambayo yakitumiwa vema basi huweka kinga ya kutosha mwilini. Unachotakiwa kufanya ni kuchemsha mafuta ya nguruwe na kuweka kitunguu saumu kupunguza harufu na kuongeza kinga zaidi na zaidi.
MATIBABU
Kunywa kikombe kimoja kwa kipimo cha kikombe cha kahawa asubuhi kabla hujala kitu na usiku unavyokwenda kulala.
Usiku mwema
mzizi mkavu ameshakupinga kama una hoja zaidi funguka tuanze kutumia
Loh, labda niambiwe dawa ya kutokufa.
Yule wa porini sawa,anakula karibu mizizi yote uijuayo.