Ongeza ladha ya chakula kwa kutumia pilipili manga

Ongeza ladha ya chakula kwa kutumia pilipili manga

farkhina

Platinum Member
Joined
Mar 14, 2012
Posts
14,568
Reaction score
16,917
Habari zenu.

Unaweza kupika chakula kizuri tu na kuzingatia kila hatua ila kisiwe na ladha tamu zaidi au kiwe kimepooza.

Tumia pilipili manga iliotwanga dakika 10 kabla ya kuepua chakula chako.

Kwa upande wa spicea nyengine ili zitokoleze vizuri katika chakula mfano wa spices hizo ni bizari ya pilau n.k cha kufanya ni kuweka mafuta katika pan moto kiasi ili zisiungue na kuzikaanga kwa dakika 3 alafu endelea kuweka vegetable nyengine.
 
Jikon naona kumelala paka nowadays. ..kimyaaa hatuli!...lol

Mkwe wangu hajambo?

Shoga angu niko busy acha tu nna mengi nataka kuweka ila huo mda sasa...

Mkweo hajambo vipi na wangu huko
 
Habari zenu.

Unaweza kupika chakula kizuri tu na kuzingatia kila hatua ila kisiwe na ladha tamu zaidi au kiwe kimepooza.

Tumia pilipili manga iliotwanga dakika 10 kabla ya kuepua chakula chako.


Kwa upande wa spicea nyengine ili zitokoleze vizuri katika chakula mfano wa spices hizo ni bizari ya pilau n.k cha kufanya ni kuweka mafuta katika pan moto kiasi ili zisiungue na kuzikaanga kwa dakika 3 alafu endelea kuweka vegetable nyengine.
Vyakula vya siku izi havina ile ladha halisi, mfano mchicha, ni vitu gani nikiweka harufu na ladha itarudi?
 
Back
Top Bottom