Ongeza salio kwenye simu kwa kutumia kamera ya simu yako

Ongeza salio kwenye simu kwa kutumia kamera ya simu yako

robbyl

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2013
Posts
423
Reaction score
424
Kuna app inaitwa 'Voucher Master' inapatikana Google Play store. App hii inakuwezesha kuongeza salio kwenye simu yako kwa kuskani namba za vocha kwa kutumia kamera ya simu yako kisha kuongeza salio. Inauwezo wa kusoma vocha zaidi ya 5 kwa wakati mmoja. Pia inafanya kazi kwenye mitandao yote ya simu. Ipakue Google play store kwe kutafuta 'Voucher Master'
 
Kaka Kuna Chuo humu ndani.
Labda hukuwahi kuona Vita watu wanagombana Hadi kununiana kisa vocha.

Mitambo ya Vocha kazi kwenu.
 
Kaka Kuna Chuo humu ndani.
Labda hukuwahi kuona Vita watu wanagombana Hadi kununiana kisa vocha.

Mitambo ya Vocha kazi kwenu.
sijakuelewa unamaanisha nini
 
Good innovation, tupate na ya kuscan bila kukwangua.. itumie serial numbers au QR code. Kukwangua kunaboa.
Kumbe hata huelewi lengo la kuzificha zile namba?

By the way, kung'ang'ana na vocha ya kukwangua katika ulimwengu wa sasa ni kujipotezea muda mwingi sana na kujidumaza akili. Hiyo ilipaswa iwe teknolojia ya karne ya 19 huko!
 
Kumbe hata huelewi lengo la kuzificha zile namba?

By the way, kung'ang'ana na vocha ya kukwangua katika ulimwengu wa sasa ni kujipotezea muda mwingi sana na kujidumaza akili. Hiyo ilipaswa iwe teknolojia ya karne ya 19 huko!
Bado zinatumika sio wote wanakua na hela kwenye mobile money. Iyo app ina download zaidi ya 1k kwa siku
 
Nilikuwaga na app inayofanana hiyo au ni hii im not sure, au imekuwaupdated (maana ilikuwa ina scan moja moja..)
Niliifuta coz ilikuwa ina hitaji Internet connection kama hauna bundle huweki vocha yako.
 
Kaka Kuna Chuo humu ndani.
Labda hukuwahi kuona Vita watu wanagombana Hadi kununiana kisa vocha.

Mitambo ya Vocha kazi kwenu.
kuna uzi ulikuwa wa kugawa vocha nafikiri vijana walitumia hiyo tekilonojia

ule uzi ulikua na vituko sana wallah
 
Nilikuwaga na app inayofanana hiyo au ni hii im not sure, au imekuwaupdated (maana ilikuwa ina scan moja moja..)
Niliifuta coz ilikuwa ina hitaji Internet connection kama hauna bundle huweki vocha yako.
Hii haiitaji internet kuitumia
 
  • Thanks
Reactions: 1gb
Back
Top Bottom