jiwe gizani
JF-Expert Member
- May 25, 2021
- 380
- 507
- Thread starter
-
- #41
Kaanzishe weweAnzisha na uzi unaongelea timu ambazo ni ngumu kumpata mchezaji mzungu. Mimi naanza na Tanzania
Ni waafrika au watu weusi??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
team ya sasa
wazungu 12
waafrika 14
BothNi waafrika au watu weusi??
Uzi wako wa kibaguzi na hauna logicKaanzishe wewe
Kivipi mkuu kisa nimekwambia kaanzishe wewe?Uzi wako wa kibaguzi na hauna logic
Gerd AsamoahYea timu nyingine ambayo inakosa weusi ni German angalau kipindi hichi Sane, Gnabry na wengine wameongeza idadi.
Katika timu ambayo nilifikiri haitakua na mchezaji mweusi halafu nikawaona wengi ni Israel.
Na Tz aiseeItaly
Argentina
Spain
Iceland
Croatia
Turkey
Ongezea zako
Kwani lazima Waafrika wawe huko hv sisi mbona tunapenda kujipendekeza sana
Kaanzishe wewe
Hivi vitoto wachina wanavyovizaa kwenye miradi mbali mbali hapa Tanzania unategemea badae vitachezea nchi gani?China na Japan wapo
Urusi.
Jerome boateng alichukua world cup na GermanYea timu nyingine ambayo inakosa weusi ni German angalau kipindi hichi Sane, Gnabry na wengine wameongeza idadi.
Katika timu ambayo nilifikiri haitakua na mchezaji mweusi halafu nikawaona wengi ni Israel.
Ujerumani weusi wapo toka muda tuJerome boateng alichukua world cup na German
Nafikiri the idea ni timu ambayo weusi wa kuokoteza kwasababu tukisema tuhesabu mmoja mmoja kihistoria hata Spain ashachezea mtu mweusi.Jerome boateng alichukua world cup na German
Nilicho andika ndo nilichomaanishaMleta mada point yako nini haswaa! So timu ikiwa haina mtu mweusi isishabikiwe ama? Hao weusi waliomo katik timu wanakulipa?
Timu ambazo sizipendi, na haitatokea nizipende ni brazili na England kidogo.