Ongezeko la bidhaa chini ya viwango mtaani, TBS kunani?

Ongezeko la bidhaa chini ya viwango mtaani, TBS kunani?

Librarian 105

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2023
Posts
261
Reaction score
356
Nitaangazia upande wa chuma pekee: hardware nyingi sana huku Arusha zinauza nondo na bidhaa nyingi za chuma ambazo hazina ubora na kiwango. Pia hazina urefu wa futi 17-17.5 kama zamani.
Hii hali imenipa mashaka makubwa juu ya matokeo ya baadae ya tasnia ya ufundi na ujenzi wa uhakika mitaani. Ndio maana nauliza, hivi kweli TBS wapo kazini?!
 
Nitaangazia upande wa chuma pekee: hardware nyingi sana huku Arusha zinauza nondo na bidhaa nyingi za chuma ambazo hazina ubora na kiwango. Pia hazina urefu wa futi 17-17.5 kama zamani.
Hii hali imenipa mashaka makubwa juu ya matokeo ya baadae ya tasnia ya ufundi na ujenzi wa uhakika mitaani. Ndio maana nauliza, hivi kweli TBS wapo kazini?!
TBS is one of the corrupted government organ
Tbs imejaa rushwa inanuka rushwa .. Tbs imeoza
 
Ukizunguka kariakoo utakutana na bidhaa feki kibao kutoka Uchina!, Tbs wapo kwa usingizi wanakoroma kwa Rushwa.
 
Back
Top Bottom