S Shabani Ajaha Member Joined Aug 18, 2021 Posts 78 Reaction score 60 May 14, 2022 #1 UVCCM_ TAIFA MEI 14, 2022 ONGEZEKO LA MSHAHARA: Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. SAMIA SULUHU HASSAN akubali ongezeko la 23.3% kwa Kima cha Chini cha Watumishi wa Umma Nchi Tanzania. #AlipoMamaVijanaTupo #2022ShirikiUchaguziKwaUadilifu #2022JiandaeKuhesabiwa #KaziIendelee
UVCCM_ TAIFA MEI 14, 2022 ONGEZEKO LA MSHAHARA: Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. SAMIA SULUHU HASSAN akubali ongezeko la 23.3% kwa Kima cha Chini cha Watumishi wa Umma Nchi Tanzania. #AlipoMamaVijanaTupo #2022ShirikiUchaguziKwaUadilifu #2022JiandaeKuhesabiwa #KaziIendelee
K Kifulambute JF-Expert Member Joined May 8, 2011 Posts 2,539 Reaction score 758 May 14, 2022 #2 Ongezeko haliakisi uhalisia wa maisha. Unaongeza mishahara na unaruhusu vitu kipanda bei bora uache
Foxhunters Senior Member Joined Nov 25, 2019 Posts 160 Reaction score 108 May 14, 2022 #3 Huo mkeka uko wapi sasa
Sky Eclat JF-Expert Member Joined Oct 17, 2012 Posts 57,761 Reaction score 216,011 May 14, 2022 #4 Serikali ya CCM inakua kucheza na akili za wabongo, kuzima sakata la Mzee Mdee, ghafla mishahara inapanda.
Serikali ya CCM inakua kucheza na akili za wabongo, kuzima sakata la Mzee Mdee, ghafla mishahara inapanda.