ongezeko la mishahara.

MAN PC

Senior Member
Joined
May 1, 2013
Posts
108
Reaction score
18
kuna taarifa zimezagaa kua walimu wameongezewa mshahara asilimia 75, naomba majibu yenu yenye uhakika coz kuna ndg yngu yuko kijijini ni mwl ananisumbua ili apate uhakika. Great thinkers comment .
 
Walimu 25%, afya 65% na Sekta zingine 55%. Walimu mulie tu.
 
I can bet, an increment of 75% is very unlikely, labda kwa baadhi ya walimu tu. Nikitizama bajeti ya serikali iliyopitishwa juzi, gharama za mishahara (Salaries and Wages), zinakadiriwa kuongezeka kwa asilimia 26% tu kutoka makadirio ya mwaka wa fedha unaoishia 30 June 2013.
 
walimu wa arts 25%
walimu wa science 75%
proved......
 
zitabaki tetesi mpaka itakapofahamika vinginevyo make naona toka april mpaka leo bado majibu yamekaliwa kitu ambacho ni tatizo kubwa hapa tz make ishu zinawahusu watu lakini zinavyofichwa kila kitu siri,mikataba siri,mishahara siri, come on

..hivi ni kwanini watz hatusaiadiani hata kwenye ishu ndogo kama hizi?,stinking boresome!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…