yello masai
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 3,662
- 3,715
Serikali imesema kuanzia tarehe 01/01/2019 itaongeza mishahara ya watumishi wake wote kwa 40% ikiwahusisha pia Watumishi wa Mashirika ya Umma, Serikali Kuu, TAMISEMI na Kuwataka Waajiri Wote wa Sekta Binafsi kuzingatia ongezeko hilo. Mfano, kama mshahara wako ni TZS 1,000,000 basi 40% ya 1,000,000 ni 400,000. Kwa maana hiyo mshahara wako utakuwa TZS 1,400,000. Vivyo hivyo 2,000,000 ~ 2,800,000; 500,000 ~ 700,000 n.k.
Hata hivyo Waalimu, na watumishi wa idara za afya watapatiwa posho isiyopungua sh 150,000 kwa kila mwezi ili kupunguza ukali wa maisha.
Mazungumzo yote yameshakamilika na kinachosubiriwa utaratibu wa kuandaa malipo.
Fupisha habari hii kwa maneno yasiyozidi 25
Hivi bado kuna maswali kama haya shule ya msingi, maana mambo yamebadilika sana, enzi hiyo hayo maswali yalikuwa ni changamoto kwa wengi.
C & P
Hata hivyo Waalimu, na watumishi wa idara za afya watapatiwa posho isiyopungua sh 150,000 kwa kila mwezi ili kupunguza ukali wa maisha.
Mazungumzo yote yameshakamilika na kinachosubiriwa utaratibu wa kuandaa malipo.
Fupisha habari hii kwa maneno yasiyozidi 25
Hivi bado kuna maswali kama haya shule ya msingi, maana mambo yamebadilika sana, enzi hiyo hayo maswali yalikuwa ni changamoto kwa wengi.
C & P