Kwa uwezo mdogo wa uchumi wetu, kuongeza mishahara ni kuyummbisha uchuni kwa kuleta mfumuko wa bei.
Mfano upo hivi; katika kijiji (nchi) uwezo wa kuzalisha kilo 100 za unga, watu wake mf. 20 wanapata Tsh 100,000/. Mshara ukiongezeka, wale watu watakuwa na uwezo mkubwa wa kunua bidhaa, huku bidhaa hazijazalishwa, hivyo, wale watu 20 watagombaniana zile kilo 100 hatimaye, kutokana na kanuni za soko, bei ya unga inapanda.
Kuongeza mishahara kuna tija ikiwa kasi ya ushumi ni kubwa, kiwango cha mishahara kinapaswa kwenda sambamba na ukuaji wa uzalishaji.