Vichekesho
Member
- Jun 20, 2024
- 66
- 3,277
Uzii ufungwee!!Kwenye Mahusiano Kila mtu ni omba omba, kama huombi hela basi utaomba naniliu...ndio mfumo uliopo[emoji209]
Wanaume wengine bana.. yaani unataka wewe ulombe papuchi ila wewe usilombwe hela... yaani kweli ule bure tu...😕Uzii ufungwee!!
Hata gari inafanyiwa service aisee... viatu vyenyewe pia vunasafishwa na vinapakwa kiwi...."Umepewa bure, toa bure". Mwisho wa kunukuu
Kulia lia sio tabia za kiume, hutaki kuombwa pesa acha kutongoza.Achana na wale unaokutana nao pembeni ya barabara wakihitaji msaada wa chochote, sikuhizi kuna ombaomba hawa ambao ukiingia kwenye mahusiano tu basi utaletewa matatizo chungu nzima.
Nashauri serikali iingilie kati hii suala ni gumu mno. Nchi ina maskini wakutupwa sema wanashindwa tu kujipanga barabarani wanasubiri tuwatongoze watuingize kwenye mfumo.
Sisi wanaume kazi yetu kuhudumia kama unawaonea wivu ke, jiunge nao tutakuhudumia kama plan BAcha tabia ya kuombaomba
Kuna jamaa yangu anasema it's cheaper to hire an escort.Nchi ina maskini wakutupwa sema wanashindwa tu kujipanga barabarani wanasubiri tuwatongoze watuingize kwenye mfumo.
Dume mwenzako huyoNakuomba pm
Kuna kadem kamoja huwa nakagonga kanaomba aisee mpaka kero hadi nimeka save ombaombaAchana na wale unaokutana nao pembeni ya barabara wakihitaji msaada wa chochote, sikuhizi kuna ombaomba hawa ambao ukiingia kwenye mahusiano tu basi utaletewa matatizo chungu nzima.
Nashauri serikali iingilie kati hii suala ni gumu mno. Nchi ina maskini wakutupwa sema wanashindwa tu kujipanga barabarani wanasubiri tuwatongoze watuingize kwenye mfumo.
Mpaka ukiona sim yake unastukaKuna kadem kamoja huwa nakagonga kanaomba aisee mpaka kero hadi nimeka save ombaomba