Ongezeko la Posho: Serikali ilidanganya?

Ongezeko la Posho: Serikali ilidanganya?

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Kama mnakumbuka serikali ilitoa waraka wa nyongeza ya posho za safari nje ya ofisi (perdiem) ikiongeza kutoka laki moja mpaka 150,000.

Katika mwendelezo ule ule kwenye mishahara, serikali imezielekeza taasisi zake zilipe posho kulingana na uwezo wake sio lazima iwe hiyo iliyotajwa kwenye waraka.

Ninayo nyaraka ya TANROAD ikiwaandikia watumishi kusitisha matumizi ya viwango vipya hadi itakavyotaarifiwa vinginevyo.

My Take
1. Rais Samia ajiudhuru kwa kudanganya umma kwa kiwango kisichopimika.
2. Watumishi mmedhalaulika sana. Huu ni wakati wenu kutoa makucha
 
Mama nadhani alisema tu, alipokutana Na wataalamu wakamwambia haiwezekani.
 
Kijana unakurupuka kwanza kingine internal memo kama iyo ni Siri za ofisi umesikia umefanya kosa sana kubwa mno unaweza toa Siri za ofisi hutakiwa kushare kabisa

Izo taasisi na nyingine nyingi Zina bajet yao ya ndani sijajua kama inapokea ruzuku au laah kwanza wanakuwa na plan ya mwaka katika shughuli zao zote na bajeti Inakuwa ishatengwa kwa mwaka wa fedha

Wao wametumiwa akili kwamba bajeti ipo chini watashindwa kusustain kulipana ivyo wewe unakuja kulalama so unataka pesa ziliwe wameona huruma kiwango kitakuwa kikubwa ili kusuit na current budget we unakuja piga kelele

Aliyetuma ule waraka wa ndani wa Tanroad ni mjinga na akamatwe zile ni Siri za ofis
 
Kijana unakurupuka kwanza kingine internal memo kama iyo ni Siri za ofisi umesikia umefanya kosa sana kubwa mno unaweza toa Siri za ofisi hutakiwa kushare kabisa

Izo taasisi na nyingine nyingi Zina bajet yao ya ndani sijajua kama inapokea ruzuku au laah kwanza wanakuwa na plan ya mwaka katika shughuli zao zote na bajeti Inakuwa ishatengwa kwa mwaka wa fedha

Wao wametumiwa akili kwamba bajeti ipo chini watashindwa kusustain kulipana ivyo wewe unakuja kulalama so unataka pesa ziliwe wameona huruma kiwango kitakuwa kikubwa ili kusuit na current budget we unakuja piga kelele

Aliyetuma ule waraka wa ndani wa Tanroad ni mjinga na akamatwe zile ni Siri za ofis
iko wapi hiyo memo kwenye uzi? acha kuwa mbuni kuficha kichwa kwenye mchanga
 
Kwanza hiyo ipunguzwe au iondolewe kabisa. Ni ufujaji wa pesa, haina umuhimu wowote
 
Kijana unakurupuka kwanza kingine internal memo kama iyo ni Siri za ofisi umesikia umefanya kosa sana kubwa mno unaweza toa Siri za ofisi hutakiwa kushare kabisa

Izo taasisi na nyingine nyingi Zina bajet yao ya ndani sijajua kama inapokea ruzuku au laah kwanza wanakuwa na plan ya mwaka katika shughuli zao zote na bajeti Inakuwa ishatengwa kwa mwaka wa fedha

Wao wametumiwa akili kwamba bajeti ipo chini watashindwa kusustain kulipana ivyo wewe unakuja kulalama so unataka pesa ziliwe wameona huruma kiwango kitakuwa kikubwa ili kusuit na current budget we unakuja piga kelele

Aliyetuma ule waraka wa ndani wa Tanroad ni mjinga na akamatwe zile ni Siri za ofis

Malipo yoyote kwa mtumishi wa umma hayapaswi kuwa siri. Taxpayers wana haki ya kujua. Kwenye nchi zilizoendelea, huo usiri haupo!
 
Umejuaje si umeona ule uzi wenye kimemo kama haiwezekani we unatakaje

Yule jamaa marehemu akiwaambia ukweli unakasirika
Naona unaruka ruka tu. Kwa hiyo kuongeza posho leo halafu kesho anasema vingine ni kusema ukweli? Umeniuliza natakaje, nataka serikali iache kudanganya, inyooshe maelezo sio kutafuta sifa za kijinga. Bora Jiwe alikuwa anasema kweli haongezi
 
Malipo yoyote kwa mtumishi wa umma hayapaswi kuwa siri. Taxpayers wana haki ya kujua. Kwenye nchi zilizoendelea, huo usiri haupo!
Posho mkuu wanapeana mikononi hata wakiamua kuiba ishu ni Siri za ndani
 
naona unaruka ruka tu. Kwa hiyo kuongeza posho leo halafu kesho anasema vingine ni kusema ukweli? Umeniuliza natakaje, nataka serikali iache kudanganya,inyooshe maelezo sio kutafuta sifa za kijinga. Bora Jiwe alikuwa anasema kweli haongezi
Umeelewa point hiyo bajeti ya Tanroad sio Tamisemi ni bajeti yao ya ndani umenielewa wanajua nn kinfanya labda na ruzuku kidogo kama wanapata wao kama wao basi nikuambie taasisi fulani nimeona wamepitisha na safari za ovyo zishaanza kwa vile pesa ya ndani zipo za kutosha yaani wanatumia tu
 
Wafanyakazi wameongezewa posho kubwa Sana. Waliambiwa na mhe rais kuwa wale kulingana na urefu wa kamba zao.
 
Kama mnakumbuka serikali ilitoa waraka wa nyongeza ya posho za safari nje ya ofisi (perdiem) ikiongeza kutoka laki moja mpaka 150,000.

Katika mwendelezo ule ule kwenye mishahara, serikali imezielekeza taasisi zake zilipe posho kulingana na uwezo wake sio lazima iwe hiyo iliyotajwa kwenye waraka.

Ninayo nyaraka ya TANROAD ikiwaandikia watumishi kusitisha matumizi ya viwango vipya hadi itakavyotaarifiwa vinginevyo.

My Take
1. Rais Samia ajiudhuru kwa kudanganya umma kwa kiwango kisichopimika.
2. Watumishi mmedhalaulika sana. Huu ni wakati wenu kutoa makucha

Kilicho baki nikwenda kuogelea ikulu
 
Kijana unakurupuka kwanza kingine internal memo kama iyo ni Siri za ofisi umesikia umefanya kosa sana kubwa mno unaweza toa Siri za ofisi hutakiwa kushare kabisa

Izo taasisi na nyingine nyingi Zina bajet yao ya ndani sijajua kama inapokea ruzuku au laah kwanza wanakuwa na plan ya mwaka katika shughuli zao zote na bajeti Inakuwa ishatengwa kwa mwaka wa fedha

Wao wametumiwa akili kwamba bajeti ipo chini watashindwa kusustain kulipana ivyo wewe unakuja kulalama so unataka pesa ziliwe wameona huruma kiwango kitakuwa kikubwa ili kusuit na current budget we unakuja piga kelele

Aliyetuma ule waraka wa ndani wa Tanroad ni mjinga na akamatwe zile ni Siri za ofis
Tanroad wanatengewa pesa na serikali

Sent from my SM-G973U using JamiiForums mobile app
 
Yani bado nachelea yani... Yani siamini amini !! Ni Mama kweli kafanya haya au kapotoshwa..!!?
 
Kijana unakurupuka kwanza kingine internal memo kama iyo ni Siri za ofisi umesikia umefanya kosa sana kubwa mno unaweza toa Siri za ofisi hutakiwa kushare kabisa

Izo taasisi na nyingine nyingi Zina bajet yao ya ndani sijajua kama inapokea ruzuku au laah kwanza wanakuwa na plan ya mwaka katika shughuli zao zote na bajeti Inakuwa ishatengwa kwa mwaka wa fedha

Wao wametumiwa akili kwamba bajeti ipo chini watashindwa kusustain kulipana ivyo wewe unakuja kulalama so unataka pesa ziliwe wameona huruma kiwango kitakuwa kikubwa ili kusuit na current budget we unakuja piga kelele

Aliyetuma ule waraka wa ndani wa Tanroad ni mjinga na akamatwe zile ni Siri za ofis
Hujajibu hoja ya mleta mada! pia nenda kajifunze nini maana ya neno "siri"na aina za "siri"
 
Mtumishi wa Umma kutoa makucha kwa Serikali ni sawa kabisa na yule nabii Zimbabwe aliyesema wamfukie na siku ya tatu wanmfukue na siku ya tatu walipomfukua walimfukia kweli mazima.

Ninachotaka kusema watumishi wa Umma hawana jeuri hiyo kwa Sababu watakuwa wamejizika wenyewe Kuna wahitimu wengi mpaka wa shahada ya uzamivu hawana ajira hivyo wakiondoka wengine wanakuja.

Watumishi waendelee kushirikiana na Serikali kutafuta namna ya kutatua suala hilo.
 
Kama mnakumbuka serikali ilitoa waraka wa nyongeza ya posho za safari nje ya ofisi (perdiem) ikiongeza kutoka laki moja mpaka 150,000.

Katika mwendelezo ule ule kwenye mishahara, serikali imezielekeza taasisi zake zilipe posho kulingana na uwezo wake sio lazima iwe hiyo iliyotajwa kwenye waraka.

Ninayo nyaraka ya TANROAD ikiwaandikia watumishi kusitisha matumizi ya viwango vipya hadi itakavyotaarifiwa vinginevyo.

My Take
1. Rais Samia ajiudhuru kwa kudanganya umma kwa kiwango kisichopimika.
2. Watumishi mmedhalaulika sana. Huu ni wakati wenu kutoa makucha
Tatizo la wafanyakazi Ni kuwa they are divided. Wale ambao Wana nafasi za kuwapa hela be it kwa kuiba or other lawful means, wao wanaona haviwahusu. Wale wanaotegemea mshahara, hawawezi kupaza sauti maana wataadabishwa! Ndio wafanyakazi walivyo
 
Back
Top Bottom