kazuramimba
Senior Member
- Jun 14, 2011
- 126
- 57
katika jamii za kale ilikuwa ni kitu cha ajabu kusikia neno shoga au kusikia eti dume jogoo hawiki! Au eti nikianza kulima jembe linaishiwa nguvu! Na wengine hadi shamba huliandaa kulilima hawezi But 2 day ni jambo la kawaida wanaume wamebakia majina tu! Au kwa lugha nyingine wanaume suruali yaani Jogoo kwisha habari yake: Mabango yanayo hamasisha dawa za kuamsha mpini yanazidi kuongezeka,mashoga yaanpi wanaume ambao si riziki nao ni wengi balaa hapa tandika wana dangulo lao ukiwauliza kwanini wafanya hayo wanadai kama jogoo hawiki wafanyaje? Wanatolea mfano wa baba yao Eltoni john.,Pia ongezeko la talaka kisa mama miaka mitatu hajapewa soseji na mayai mawili,lakini pia ongezeko la mafumanizi na wengi wanaofumaniwa sasa ni wanawake tofauti na zamani.kwa upande mwingine makahaba nao biashara hailipi tena kama zamani kisa wateja wao nao majogoo yao kushnei so hawaendi coz wataliwa pesa bure., Jamani mwenye tiba ya kufanya jembe liwe trekta atuambie ili tuimarishe ''KILIMO KWANZA''..