Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimwambie ili iweje? Akipita humu ujumbe atauonakwanini hukumuambia hapo hapo mlipokutana...? Au una nidhamu y uwoga mkuu
[emoji23]Waonee tu huruma wanakula vitu vingi hata ambavyo haviliki wao kila kitu wanaweza weka kinywani regardless
Ugonjwa wa usafi kinywani?Wakati mwingine huwa ni ugonjwa.
Mbona wanapendeza?Wana lishe duni
Wengi wana shida sana ukiwa nao karibu, ila kwa nje wanajipamba sana ili kuficha changamoto walizonazo,ila kiukweli wengi wana shida.Mbona wanapendeza?
Tataizo hili wanalo watu wengi na linakera. Ubaya ni kwamba mtu huwezi kujijua kama unatoa harufu mdomoni. Mara nyingi hii hutokea kutokana na kutokula chochote kwa muda mrefu. Pia aina ya vyakula unavyokula inachangia. Ukikutana na mtu aliyekula kachumbali yenye vitunguu au vyakula vya spices halafu akakaa muda mrefu bila kula ni hatari. Kuondoa tatizo inatakiwa mtu anywe maji kwa wingi na pia usikae muda mrefu bila kula chochote. Kama uko kwenye ratiba ya kutokula basi ni vizuri ukatembea na mouth wash na ukawa unasukutua mara kwa mara.Nimwambie ili iweje? Akipita humu ujumbe atauona
Hili linakata stimu sana. Mwanamke hata awe mrembo vipi lakini akifunua mdomo kama una harufu mbaya grade yake inashuka.Kitu kinachoweza kunifanya nimshushe thamani mwanamke ni hiki...Ata awe na uzuri wa aje.