Onja uone kama una sukari

Mallata Jr.

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2014
Posts
461
Reaction score
392
Mzee kaingia pharmacy,
MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu
naomba uonje nitakulipa
MFAMASIA: Kitu gani?....Mzee
akatoa
kichupa na kijiko akaweka majimaji
yaliyomo kwenye kichupa kwenye
kijiko na kumwambia mfamasia
aonje,
mfamasia akatia yale maji mdomoni
na
kuyazungusha zungusha mdomoni
akionja;
MZEE: Nipe jibu, ina utamu wa
sukari au chumvi au pilipili?
MFAMASIA: Kama chumvichumvi
MZEE: Hakuna sukari
MFAMASIA: Sukari hakuna kabisa
MZEE: Loh asante chukua hii alfu
tano
nashukuru sana, dokta alinambia
nipime mkojo wangu kama
ninakisukari, kumbe sina asante
bwana mdogo
 
Jambo ambalo si rahisi litokee kwa mfamasia...

Lakini ndo mambo ya JF haya lazima tukubakiane pasipokukubaliana...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…