Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Wazee kalaga baho nimechoka.
Jamaa wehu sana hawa, mtu siku ya rejesho leo meseji ya kwanza tu imeandikwa "Kosa langu mimi kukuamini wewe na kukukopesha sasa nasema utajuta". Hapo leo ndo siku ya kwanza tu ambapo ilitakiwa inikunbushe tu.
Toka nimepokea sms hii mpaka muda huu nishajua kama hapa nimeyakanyaga. Yani hata kujitete sijaanza mkopeshaji kanza kulalamika na tuhuma juu. Asee hawa jamaa wamezidi kuajiri vilaza wakuu, serikali iingilie kati sio kwq customer care hii.
Cc Kalaga baho
Jamaa wehu sana hawa, mtu siku ya rejesho leo meseji ya kwanza tu imeandikwa "Kosa langu mimi kukuamini wewe na kukukopesha sasa nasema utajuta". Hapo leo ndo siku ya kwanza tu ambapo ilitakiwa inikunbushe tu.
Toka nimepokea sms hii mpaka muda huu nishajua kama hapa nimeyakanyaga. Yani hata kujitete sijaanza mkopeshaji kanza kulalamika na tuhuma juu. Asee hawa jamaa wamezidi kuajiri vilaza wakuu, serikali iingilie kati sio kwq customer care hii.
Cc Kalaga baho