Online inteview za utumishi

Online inteview za utumishi

joangg

Member
Joined
Nov 26, 2014
Posts
31
Reaction score
18
Wakubwa habari za majukumu samahani kwa walio fanya interview Za utumishi hivi karibuni setting yao inakuaje kwa intervier za online au maswali yao yanakua katika mfumo gani?
 
Wakubwa habari za majukumu samahani kwa walio fanya interview Za utumishi hivi karibuni setting yao inakuaje kwa intervier za online au maswali yao yanakua katika mfumo gani?
Ngoja tusubir waje
 
Wakubwa habari za majukumu samahani kwa walio fanya interview Za utumishi hivi karibuni setting yao inakuaje kwa intervier za online au maswali yao yanakua katika mfumo gani?
1. Written Interview; swali linajitokeza na ukishalijibu unaclick next linakuja lingine mpaka utakapomaliza yote na utayapata majibu yako hapo hapo umepata ngapi katika idadi ya maswali uliyoulizwa.
Angalizo; usiclick next kabla hujajibu, usiclick ukifikiria baadae utalirudia hilo swali ndio imetoka hiyo.Mfumo uliosetiwa unakuchukulia kama hilo swali umeshindwa😀. Kuna kuwa na time limit na unaiona pale juu, so speed yako ya kujibu maswali ndio mwokozi wako😉
2. Oral Interview; Screen inajigawanya pande mbili kama vile unavyoona video call ya WhatsApp😊. Panel nzima ya interviewers unaiona nawe wanakuona. Maswali ni yale yale yanayohusu kada yako tu. Nikutakie interview njema mkuu🤝👍
 
UTUMISHI hawana online oral interview
1. Written Interview; swali linajitokeza na ukishalijibu unaclick next linakuja lingine mpaka utakapomaliza yote na utayapata majibu yako hapo hapo umepata ngapi katika idadi ya maswali uliyoulizwa.
Angalizo; usiclick next kabla hujajibu, usiclick ukifikiria baadae utalirudia hilo swali ndio imetoka hiyo.Mfumo uliosetiwa unakuchukulia kama hilo swali umeshindwa😀. Kuna kuwa na time limit na unaiona pale juu, so speed yako ya kujibu maswali ndio mwokozi wako😉
2. Oral Interview; Screen inajigawanya pande mbili kama vile unavyoona video call ya WhatsApp😊. Panel nzima ya interviewers unaiona nawe wanakuona. Maswali ni yale yale yanayohusu kada yako tu. Nikutakie interview njema mkuu🤝👍
 
1. Written Interview; swali linajitokeza na ukishalijibu unaclick next linakuja lingine mpaka utakapomaliza yote na utayapata majibu yako hapo hapo umepata ngapi katika idadi ya maswali uliyoulizwa.
Angalizo; usiclick next kabla hujajibu, usiclick ukifikiria baadae utalirudia hilo swali ndio imetoka hiyo.Mfumo uliosetiwa unakuchukulia kama hilo swali umeshindwa😀. Kuna kuwa na time limit na unaiona pale juu, so speed yako ya kujibu maswali ndio mwokozi wako😉
2. Oral Interview; Screen inajigawanya pande mbili kama vile unavyoona video call ya WhatsApp😊. Panel nzima ya interviewers unaiona nawe wanakuona. Maswali ni yale yale yanayohusu kada yako tu. Nikutakie interview njema mkuu🤝👍
Aisee,kumbe mmerahisishiwa kazi namna hii?
 
Aisee,kumbe mmerahisishiwa kazi namna hii?
Sio tumerahisishiwa bali wamerahisishiwa, Mimi nilishapita huko kitambo. Kitu nilichokipenda ni kupata majibu yako hapo hapo instantly ukishamaliza swali la mwisho, kwahiyo unajijua kabisa upo kwenye inayofuatwa au haupo😀😀
 
Wakubwa habari za majukumu samahani kwa walio fanya interview Za utumishi hivi karibuni setting yao inakuaje kwa intervier za online au maswali yao yanakua katika mfumo gani?
Kama zoom meeting tu 🤣
 
Sio tumerahisishiwa bali wamerahisishiwa, Mimi nilishapita huko kitambo. Kitu nilichokipenda ni kupata majibu yako hapo hapo instantly ukishamaliza swali la mwisho, kwahiyo unajijua kabisa upo kwenye inayofuatwa au haupo[emoji3][emoji3]

Je maswal huwa ni mutiple choice,kueleza au fill in the blanks??
 
Back
Top Bottom