Online loss report form ina shida gani?

Online loss report form ina shida gani?

Top gun maverick

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2017
Posts
2,080
Reaction score
2,871
[SUB]Habari wanajukwaa natumaini wote ni wazima wa afya. Poleni na mihangaiko ya shughuli za kujenga taifa.[/SUB]

[SUB]Naenda direct to the topic. Majuzi niliweza kupoteza ATM card yangu ya Bank fulani hivi, ndipo nilipoenda bank nikaambiwa nikachukue loss report. [/SUB]

[SUB]Nikaenda central police station nikaambiwa siku hizi mambo ni online hakuna manual things, nikapewa link ya online ndipo nikafika nyumbani.kujaza hizi kutumia kitambulisho cha utaifa system inasema majina hayafanani na majina ya kitambulisho.nikaenda mpaka NIDA kuhakikisha wakasema majina yapo sahihi.[/SUB]

[SUB]Sasa niko dilemma nimekata zangu tamaa na suala la kupata ATM card mpya natumia mobile transactions. [/SUB]

[SUB]Mwenye uelewa au ushauri wowote wa uzoefu wa haya masuala anisaidie naamini JF imesaidia watu wengi, nami nitakuwa one of them.[/SUB]

[SUB]
Screenshot_20200821-185626_Chrome~2.jpg
[/SUB]​
 
Sio lazima utumie Kitambulisho cha NIDA, tafuta ID nyingije Eg. D. License, VR ID nk achana na mambo ya NIDA
 
Mimi nimelipia lakini naambiwa sijafanya malipo
 
Mimi nimelipia lakini naambiwa sijafanya malipo
Kama umelipia na unaambiwa haujalipa nenda na control number yako kituo chochote cha police wataiactivate kisha unaenda kuprint report yako
 
Mzee vyote hivo sina.nina ka namba ya nida tu.
Kuwa mwangalifu usikosee hata spelling kumbuka vizuri majina uliyojaza wakati unaomba kitambulisho pia kuna muda mwingine system inakuwa chini penda kujaribu asubuhi kuliko mchana
 
Kuwa mwangalifu usikosee hata spelling kumbuka vizuri majina uliyojaza wakati unaomba kitambulisho pia kuna muda mwingine system inakuwa chini penda kujaribu asubuhi kuliko mchana
Bro nimecheki mara nyingi
 
Hapo hautoboi mzee, hilo tatizo lipo na nidhahiri hata mimi nilikumbana nalo.

Nashukuru Mungu nilikua na kadi ya kupigia kura ndio nikafanikiwa.
 
Mimi hii ni wiki ya pili nimechemsha kupata loss report online. Na malipo yangu yamepokelewa juzi.
mimi nilipata baada ya siku kumi na kulipia mara tatu,ilikuwa kila nikilipa naenda polisi wanasema haineshi kama nimelipa wakati risiti nakuwa nayo
 
Vipi mkuu ulifanikiwa maana namimi nimepatwa na changamoto hii
 
Back
Top Bottom