Pawaga
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 1,349
- 1,011
Habari wadau?,natumaini pasaka ilikuwa njema.,pia nachukua fursa hii kupeana pole kwa majanga yanayotukuta watanzania(eee Mungu utusamehe).
Ok nimekuja kuchota hekima na busara kama ilivyo kawaida yangu kufika hapa JF kujifunza na kuchukua mambo muhim.
"mimi ni graduate wa Bachelor degree in Accountancy na nimejikusanya sasa nataka kusoma masters hyo hapo lakin ONLINE". Hivyo naomba kujuzwa yafuatayo:
1. Je online masters ina soko kama ilivyo zile za darasan?,au magumashi?.
2. Je ni chuo gan kizur cha nje au nchini kinatoa masters hyo online
3. Gharama zipoje na ningependa kujua chuo chenye unafuu zaidi?
NB: mi naishi shambani lakin nina access ya internet 24/7 natumai ntamudu.
Ok nimekuja kuchota hekima na busara kama ilivyo kawaida yangu kufika hapa JF kujifunza na kuchukua mambo muhim.
"mimi ni graduate wa Bachelor degree in Accountancy na nimejikusanya sasa nataka kusoma masters hyo hapo lakin ONLINE". Hivyo naomba kujuzwa yafuatayo:
1. Je online masters ina soko kama ilivyo zile za darasan?,au magumashi?.
2. Je ni chuo gan kizur cha nje au nchini kinatoa masters hyo online
3. Gharama zipoje na ningependa kujua chuo chenye unafuu zaidi?
NB: mi naishi shambani lakin nina access ya internet 24/7 natumai ntamudu.