pamoja na kufuatilia yaan kwenda TCRA KUONA NA WAHUSIKA kisutu mpaka ostabei polis bado hakuna kilichofanyka kwan n zaid ya miez miwil na hata tgo walipopewa taarfa juu ya wa2 hawa il kuzuia pesa hzo bado hawaonesh ushirikiano HAPA KUNA WATU WAKUBWA WANAPGA PESA HAIWEZEKAN WATU WASIKAMATWE NA KWANN MTU KAANDKA VBAYA KUHUSU MKUU WA MAJESH THEN HATA WK HAIJAISHA KAKAMATWA?