Online trading: Je, zinafanya kazi kwa uaminifu?

VINCENT KASAMBO

New Member
Joined
Oct 27, 2018
Posts
3
Reaction score
1
Jamani naomba msaada wa kujua online traderrs kama Alibaba, Kikuu na zinginezo, je kuna mtu ameshawahi fanya kununua bidhaa yoyote na je ni kweli zinafanya kazi kwa uaminifu maana kuna kitu nimekipenda natamani ninunue lakin naogopa.

Msaada wa uthibitisho ndugu wana JF.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna thread nyingi humu zinaongelea hilo swala. Ni vyema kabla haujaanzisha uzi mpya jaribu ku search, unge search tu kikuu au alibaba ungepata thread zinazoongelea hayo maswala kwa undani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…