Jamani wana jf polen na majukum ....wazoefu wakununua vi2 online naomba mnisaidie namna yakukamilisha hii process bila yakuibiwa na jins ya kujiunga ktk hii huduma . pia ipo salama au kuna risk sana?NIFANYE NINI ILI NIWEZE KUPATA BIDHAA YANGU NILIONUNUA ONLINE? NA JE NITAJUAJE KAMA KWELI BIDHAA YANGU IMETUMWA KWEL? msaada wana jf