Akabi kemanya
JF-Expert Member
- Oct 26, 2021
- 226
- 346
Ishu inayosumbua bro ni content media nyingi naona content zao zinafanana Sana .Thanks very much[emoji173]
Ngoja tutaongeaIshu inayosumbua bro ni content media nyingi naona content zao zinafanana Sana .
Kwahiyo ukija na kitu unique inawezekana ikawa Dili sana
Kama hajakuelewa hapa hatokuelewa tena. Umedadavua vyema na Kunakotukuka kabisa.Tcra huko usiwaze sana kabla ya KAZI. Kodi huanza kulipwa pale unapoanza kuona mafanikio.
Kama kuna madhui yanayoigusa Serikali ndiyo itakuwa balaaa. Ila kwa sasa tafuta vifaa anza KAZI, maana wengi huishia njiani na ndio HIVYO na kodi ishalambwa na Serikali Mkuu.
Ingia mzigoni.
Kuhusu vifaa (ungesema uko mkoa gani)
Itakuwa nafuu kukishauri.
Mfano: kama uko Dar Unaweza fanya windows shopping kariakoo ila uwe makini na bidhaa maana kuna vitu kama mic hapo usisite kufungua mfuko, vinginevyo utaambulia low quality brand ya mchina.
Vifaa pia unaweza agiza mtandao kupitia e-commerce website za www.ebay.com, www.alibaba.com, www.aliexpress.com nk.
Unahitajika uwe na vifaa vya kuanzia:
1. Camera nzuri budget ni kama 900k
2. Laptop pc yenye specifications alau 4gb ram, 1terabite, 2.5 processors Intel core i5 5gen na ikiwa na dedicated graphics card ya 1gb ni faida zaidi.
3. Tripods stand
4. Lights
5. Mic utachagua mfuko wako ila kama una studio condenser microphone ni nzuri kampuni ziko nyingi sana na kama ni out door boom mic itakufaa pia.
6. Background unaweza tafuta greenscreen
7. Adobe premiere na Photoshop inakuhitaji uwe na maarifa nayo
8. Chumba au geto unalipa uwezo wa kuwa studio.
*****
Badget yako itakufanya uanze na kipi kwani sio lazima kuanza na vifaa vyote hivyo.
Piga kazi na ujue usingizi kwako utakuwa ni mama mkwe.
Nikutakie kila la heri Mkuu.
Mengine watakuongezea na utayafahamu Kwenye field huko huko
Ushauri mzr tu...hakuna ulazima wa kuanza na yote hayo...atafute tu simu yenye camera nzr kama googpe pixel zile zina hata mic nzr...atafute pc tu yenye graphic kubwa AANZE KAZI...siku akiwa monetized ndo aanze kufikiri kuwekeza intensively...Tcra huko usiwaze sana kabla ya KAZI. Kodi huanza kulipwa pale unapoanza kuona mafanikio.
Kama kuna madhui yanayoigusa Serikali ndiyo itakuwa balaaa. Ila kwa sasa tafuta vifaa anza KAZI, maana wengi huishia njiani na ndio HIVYO na kodi ishalambwa na Serikali Mkuu.
Ingia mzigoni.
Kuhusu vifaa (ungesema uko mkoa gani)
Itakuwa nafuu kukishauri.
Mfano: kama uko Dar Unaweza fanya windows shopping kariakoo ila uwe makini na bidhaa maana kuna vitu kama mic hapo usisite kufungua mfuko, vinginevyo utaambulia low quality brand ya mchina.
Vifaa pia unaweza agiza mtandao kupitia e-commerce website za www.ebay.com, www.alibaba.com, www.aliexpress.com nk.
Unahitajika uwe na vifaa vya kuanzia:
1. Camera nzuri budget ni kama 900k
2. Laptop pc yenye specifications alau 4gb ram, 1terabite, 2.5 processors Intel core i5 5gen na ikiwa na dedicated graphics card ya 1gb ni faida zaidi.
3. Tripods stand
4. Lights
5. Mic utachagua mfuko wako ila kama una studio condenser microphone ni nzuri kampuni ziko nyingi sana na kama ni out door boom mic itakufaa pia.
6. Background unaweza tafuta greenscreen
7. Adobe premiere na Photoshop inakuhitaji uwe na maarifa nayo
8. Chumba au geto unalipa uwezo wa kuwa studio.
*****
Badget yako itakufanya uanze na kipi kwani sio lazima kuanza na vifaa vyote hivyo.
Piga kazi na ujue usingizi kwako utakuwa ni mama mkwe.
Nikutakie kila la heri Mkuu.
Mengine watakuongezea na utayafahamu Kwenye field huko huko
Hakuna Mtanzania ( Journalist ) wa nchi hii anaweza kuja na Kitu kipya ( Content mpya ) kwakuwa Wengi Wao Kiasili siyo Wabunifu na Wanapenda Kuiga na Kusafiri Maarifa ya Wengine waliowatangulia.Ishu inayosumbua bro ni content media nyingi naona content zao zinafanana Sana .
Kwahiyo ukija na kitu unique inawezekana ikawa Dili sana
Watanzania ( Journalists ) Creative kama utakavyo Wewe ni Wachache mno hapa nchini.Ushauri mzr tu...hakuna ulazima wa kuanza na yote hayo...atafute tu simu yenye camera nzr kama googpe pixel zile zina hata mic nzr...atafute pc tu yenye graphic kubwa AANZE KAZI...siku akiwa monetized ndo aanze kufikiri kuwekeza intensively...
Naongea hiv maana kazi nyingi za online kaa YouTube, blogs na TV huwa ni unpredictable anaweza invest pesa nyingii na asipate kitu?
Maana kule kunahitaji sana na creativity kubwa...
ONLINE TV
Wadau NDUKI ampojoter4 Mshana Jr Majukumu ya maisha yananipeleka mbio mno. Nadhani niliahidi kuwa nitatoa mapendekezo ya vifaa na gharama zake.
Hivyo, nimependekeza vifaa hapo chini kwenye picha au PDF file ambayo itapanda haraka hapa. Bajeti ya M. 7 inatosha Kabisa kuwa na professional #OnlineTV ambapo utaweza kufanya shughuli zako za ubunifu kwa Uhuru na quality nzuri ambayo inaweza kukubrand haraka sana.
Mapendekezo yangu yametegemea sana vifaa vya Msingi kiasi kwamba ukibahatika/ukivinunua basi you're ready to go. Na Unaweza kuandaa vipindi mbalimbali kama ilivyo studio za TV station mbalimbali.
Kwenye Camera hapo iyo Canon EOS 70D best camera kwa video recording ambapo unaweza kujirekodi bila hata ya msaada wa mtu yeyote kama unafanya shughuli mwenyewe studioni Kwako kutokana na ina flip display. Pia iko na quality oriented kwenye video. Mambo mengine utayaongeza huko huko ukiwa kazini.
Kikubwa nikuwa mbunifu kwenye content ili kujenga fanbase yako.
NB: Hii ni investment nzuri ambapo hata ukiamua kui upgrade kuwa studio ya mziki inawezekana utaongeza vifaa vichache tu. Hivyo ni kutake risky kisha unakomaa. Tanzania bado ONLINE TV inachukuliwa ni kama mchezo wa kupandisha video clips kwenye WhatsApp huko. But online TV Unaweza KUFANYA kazi na vituo vya habari pia kuuza kazi au vipindi vyako.
Zunguuka madukani na iyo quotation sheet ujue bei halisi. Ukiona bidhaa mojawapo ngumu kupatika basi On-line purchase inakuhusu kuagiza nje.View attachment 2589683
Production imegawanyika ipo ya audio na videoAhsante kiongozi mi niliomba vifaa vya music production unanisaidiaje kaka...?