Bushmamy JF-Expert Member Joined Aug 18, 2019 Posts 9,140 Reaction score 15,963 Oct 16, 2020 #1 Habari za leo waheshimiwa, mimi ni Mwandishi mzuri tu wa makala na haswa za kijamii. Kwa yoyote mwenye kuhitaji Mwandishi kwa ajili ya kazi hiyo tafadhali tuwasiliane. Asante.
Habari za leo waheshimiwa, mimi ni Mwandishi mzuri tu wa makala na haswa za kijamii. Kwa yoyote mwenye kuhitaji Mwandishi kwa ajili ya kazi hiyo tafadhali tuwasiliane. Asante.
Kichwa Kichafu JF-Expert Member Joined Apr 13, 2017 Posts 44,855 Reaction score 189,385 Oct 16, 2020 #2 Kila la kheri
Emily VanCamp Senior Member Joined Aug 24, 2020 Posts 189 Reaction score 960 Oct 16, 2020 #3 Tuone draft/rough documents ulizowahi andaa
Bushmamy JF-Expert Member Joined Aug 18, 2019 Posts 9,140 Reaction score 15,963 Oct 16, 2020 Thread starter #4 Jean McGrey said: Tuone draft/rough documents ulizowahi andaa Click to expand... Hadi nikapekue pekue makabrasha nyumbani, maana nyingi niliandika ktk magazeti. Kama upo tayari Niambie unataka aina gani ya makala niandike hata kwa ufupi. Nikutumie PM
Jean McGrey said: Tuone draft/rough documents ulizowahi andaa Click to expand... Hadi nikapekue pekue makabrasha nyumbani, maana nyingi niliandika ktk magazeti. Kama upo tayari Niambie unataka aina gani ya makala niandike hata kwa ufupi. Nikutumie PM