Önly fans of Hiphop

Mtoe jaffarai hapo
 
jamani na mie si nataka kujua ..naweza kuwa mpenzi wa hippop kupitia post hii


kama unataka kupenda hiphop ya nyumbani sikiliza sana hawa vijana wa TAMADUNI Muzik





mcheki Prodyuza Duke uyo mwenye kimzuzu


KILINGE CHA NADHARIA TAREHE 9/03/2013 - at Msasani Club.





Niki Mbishi uyu




MAGENGE KILINGENI MSASANI






ONE The INCREDIBLE the new Hashim Dogo







 
i wish somemeone could tell me what these two letters "MC''..Means.!!

We mtoa hoja nifungukie maana ya "MC".? TZ boy

watu Wajue Kutofautisha MC Na Emcee
 
Last edited by a moderator:
kwa mimi navyojua MC lazima uweze kuzimaster five "5" element of HIPHOP

hapana Mkuu!!! Emcee Yenyewe Ni Moja Kat Ya Hzo Elements Za Hip Hop!!! na Kuwa Mc C Lazma Uwe Una weza Zote!! coz Tukija Kwenye V2 Kama B Boying Au Break Dance Kama Mnavyoita Skuiz Inahtaj Ktu Kngne Special Ambacho Ni Body Flexibility So Hapo Bado Hyo Kitu Haitokee Kwa Kila Mtuuu!! same To the Rest Elemets!!
 

man !! Adili Owe u an Apology!! He is still alive n kickin!!
 

hyo Pcha Ya Juu Mwenye Kimzuzu Ni Nash Mc Sio Duke!!! Hao ni Miraba Minne Ndan Ya Hlo Kund Kuna Nash Mc madina P the Mc Zaiid Mnete Na Songael Mwangala Aka Songa!!! Duke Pia Ana Kimzuzu Ila Yy N Huyo Kwenye Picha Ya Pchin
 
Kwa Uelewa Wangu Mimi Kuhusu Vgezo Vya Mtu Kua Mc Lazma Awe Na Vgezo Hv!!

1. freestyling Na Mitindo Huru[/]
Any Real Mc lazma Awe Mzima Katika Kushusha Mitindo Huru Ama Freestyle. hii Kitu Ndo huwa Inawakimbiza wasanii weng wa bongo na kuwaacha kama maraper!! binafsi Sina Uhakika Kama ROMA, Stamina, Baghdad na hao Weus kama wame qualify kwenye Hii Kituuu!! na Hii Ndo kitu inayo ashiria u wackness wa marapper weng hapa bongo... kiukwel Hii Kitu Walioqualify Kwa wasanii waliopo sasa nadhan Watakua n Nikki Mbishi, Stereo, Nash Mc Na wengne nsio wajua... Ila ma Mc weng Wa zaman kama kna Dogo Mwenda Wazimu walikua Wamequalify

2 Mitindo Ya Mitambao/ Michano
unapokua Real MC Lazma Uwe Una Stylez Nyng Za Mitambao au Stylez Za Uchanajiiii na Kama Uliwah Fuatilia East Cost vs west coast Hip Hop Rivary(Staki Kuanziha Upya Huu Ubishi) Lazma Utakua Unaelewa!! hii Kitu Ndo huwa Inamfanya Notorious Big Aonekane Mkali Kuliko 2pac Kwan Alkua Na Mitambao Ya aina Nyng Kuliko 2pac!! hpa Ndo Sitajaribu Kuwaweka Kabisa Roma Wala Stamina Maana Wana Mis Hii Kitu!! kimitambao Kwa Tz Labda Fid Q. stereo, nikki Mbishi Na Hata Young Kila Yupo Vzur (Sjawajumlisha Kina Dogo Mwenda Wazimu Na watu Wa Kitambo Coz Hakuna Ubish Kuwa Walikua Ma Real Mc So Msishangae Hloo)
na Hii Pia Inabd MC Ujue Moja Mbili, Mwanzo Kati Na Mwisho Na Hata Turn Twist.. (Ndomaana Sishangai The Game Kurudia Stylez Za Bone Thugs Kwenye Nymbo Ya Celebration)
pia Kuna Stylez Nyngne Za Mitambao Zmeongezeka Kam 2 5 Flow Wanayotumia Camp Mulla from Kenya!! kuna Video Moja Ipo Youtube Inamuonyedha Balozi Akiwa Marekani Alikutana na Jamaa Anaitwa Wild style!! jamaa Anajua Mitambao Vbaya!! kazungumzia Mpaka Hii Kitu Ya Tofaut Kat Ya Rapa Na MC

Bongo Barbershop - Wild Style & African rapper - YouTube

3 Thoughts Na Ideas Za Mchanaji
hili Ndo Vjana Weng Wa Skuiz Wanapochemka!!! ndo maana Kwenye Nymbo Ya Kanye West Classic Mle Ndan KRS 1 Ameongelea Hlo
KRS ONE said:
Rappers spit rhymes that are mostly illegal,
MC’s spit rhymes to
uplift their people

na Hapa Ndo Wasandii Weng Wanachemkaaa!! mtu Anabak Kujsfia Tu Kwenya Nymbo Bila Kufikiria Jamii Inamuelewa Vp!!! pia Style Ya Kufikisha Ujumbe Pia Nadhan Ndo Kikwazo Kwa Weng!!! stamina Hapa Watu Wanaweza Sema Ame Qualify Ila Mm Kwa Vgezo Vyangu Siwez Kumpa Maksi Zoteee!!! Lakini Suala La Fid Q Kutumia Misemo Naweza Kuliunga Mkono Kabisa!! ila Nlichogundua N Kwamba Watu weng Huwa Wana Mpa Credit Hata Asipostahl Thats why Kuna People Wali Diss !! ila N Mkalii!!! hasa Kwa Era Iliyopo Sasa!! hapa Kwa Thoughts Za Kipekee Mayb One The Inredible Anaweza Kukimbiza!!! (simsifii) Ila Nmeskiliza Album Yake Sanaa Sema Ana Mis Baadhi Ya Vgezo Vyajuu Hasa Kwenye Mitindo!! yupo Static Sanaa Habadiliki Mara Kwa Mara!! nahapa Ukija Kwenye

pia Kuna Vgezo Vngne Pia Vnaweza Kuonekana Havna Nguvu Ila Vnamaana Sana!!!!

¤Ku Stay Real Na Ku Rep You Society
hapa Ndo Utagundua Watu Hawa wakilishi Jamii wayotoka!! mtu Unataka Kuimbia Hela Wakat Unaju Hali Ya Watanzaniaa!! hata Kama Ushazpata hutakiwi Kuchange !! kama Ushawah Chek Vdeo Ya Kikos Cha Mizinga The Session Youtube Hashim Pia Kaliongelea Hlo!! Akasema Mfano Yy Alipokua Nje Still Alikua Ana Rep Kitaan Kwake Coz Kama ange Change Isingekua Real!!
[http://m.youtube.com/watch?client=mv-google&hl=en-GB&gl=US&v=Ge5qENkC0Y4]

Mc Ni element Ya Hip Hop So Inajitegemea Na Mtu Kua MC Sio Lazma Awe Anajua Nguzo Zilizo Baki Kama
B Boying . Grafiti Na Dj Ila Kuna Baadhi Ya V2 N lazma Kuwa Navyo Kama Punch Lines Na Freestyles
pia Atitude Sometimes Inasaidia Ndomaana katka Mavaz Pia Kuna Dress Code Za Hip Hop!! (mm Mtu ukija Umevaa Vijins Vya Kubana Af Uniambiw Ww Mwana Hip Hop Skuelewi!! mayb Ww N Snitch)

Kwa Upande Wang Mm Ma Mc Bongo Nikianza Miaka Ya Nyuma
- All Kwanza Unit
-all Diplomatz
- Hashim Dogo
- Faza Nellly[R.I.P]
- 2 Proud Aka Sugu
- Afro Reign
- Dj Yusuph

Kwa Waliopo Now
Fid Q
Most Of Tamaduni Music Memberz Wakiwemo Kna Nikki, One, Stereo, Sona P The Mc Na Nash
-Chindo

Ila Kuna Watu Bora Nijinyonge Siwez Kuwaita Ma Mc Kama Stamina, ROMA, Professor J, Kalapina Godzila Ney Wa Miteg(Tena Na Mshangaa Anavyojiita MC Akiwa Na Punga Mwenzie Daimond) Pia Ay Na Mwana Fa: Gosby Na Hawa B Hitz Wotee + Weusi Na Chember Squad


Ila Kuna Watu Hata Tusipo Wita M Wantahili Hshima Kama Crazy GK Na Saleh Jabir Pia Kina Ebony Moalim Planet 2000 Na Hata Kina KR, Nature Na Inspecta Babu!!!
 
hyo pcha ya juu mwenye kimzuzu ni nash mc sio duke!!! Hao ni miraba minne ndan ya hlo kund kuna nash mc madina p the mc zaiid mnete na songael mwangala aka songa!!! Duke pia ana kimzuzu ila yy n huyo kwenye picha ya pchin

hapana songa yupo na one na washikaji zake jumla watano wanaunda kundi linalo itwa ilmatrix
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…